Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

Yani mi na akili zangu timamu kabisa naenda kuhesabu pesa ninunue Crown kweli? Gari iko chini, haiko friendly kwa all weather roads, tatu ubora wake ni wa mashaka. Tatizo nimegundua wengi tunanunua magari kwa kufuata mkumbo, lakini Crown ukiacha comfortability kiasi, haina qualities za kuwa gari ya kuongelewa...
Gari ya kuongelewa inatakiwa iwe na sifa zipi?! Kwa hizo sababu ulizotoa hakuna ata yenye mashiko, '' ubora wake wa mashaka'' tupe technical reasons ili tusadiki hayo unayo yaeleza.''Not friendly in all weather road" Sasa ndugu unanunua Sedan car ili ukalimie viazi huko Mabengo😂 Lete sababu zenye mashiko. Gari kuwa chini ama juu inategemea unanunua gari kwa matumiz gani. Huna sababu za msingi wewe ni mpiga porojo😂
 
Athlete inaJitahidi ila nilikuwa na vw amarok niliipita kama imesimama na sikuiona tena njia ya dodoma maeneo ya kibaigwa......
 
Yani mi na akili zangu timamu kabisa naenda kuhesabu pesa ninunue Crown kweli? Gari iko chini, haiko friendly kwa all weather roads, tatu ubora wake ni wa mashaka. Tatizo nimegundua wengi tunanunua magari kwa kufuata mkumbo, lakini Crown ukiacha comfortability kiasi, haina qualities za kuwa gari ya kuongelewa...
Mkuu we unayajua magari

Mimi hata bure siitaki

Liko chini sana labda hiyo interior features ndo mvuto kiasi chake, but hilo gari ni big nope

Extrovert
 
Mkuu we unayajua magari

Mimi hata bure siitaki

Liko chini sana labda hiyo interior features ndo mvuto kiasi chake, but hilo gari ni big nope

Extrovert
Hahahah we mchumba najua ulevi wako ni tugari twa juu juu 😂 akina Dualis, Xtrail, Harrier, Kluger, Prado, RR Evoque, RR Vogue, VX V8, Beamer X5/ X6 n.k
 
Hahahah we mchumba najua ulevi wako ni tugari twa juu juu akina Dualis, Xtrail, Harrier, Kluger, Prado, RR Evoque, RR Vogue, VX V8, Beamer X5/ X6 n.k
Best yangu anamiliki hili bati asee anateseka na kugonga chini huyo

Yaan tuta kidogo utasikia paraaaa,

Mi namwambiaga endelea kuburuza chini
 
Kuna maraia wanaita gari za kudumbukia chini! aigofonge ma spacer kwa fyade
Ha ha ha ha

Eti kudumbukia chini

Huyu jamaa halafu ni mlevi sasa japo brazamen, akitaka kupark pale "likwidi" kurasini na yale mashimo ya pale utamuonea huruma!

Huwa mi nashuka kwanza namuacha asegedansi nalo
 

Moja ya gari ambalo ni noma barabarani basi ni hili ndinga,nakumbuka jana nikiwa natokea maeneo ya RUFIJI kuja DAR ilinipa hii gari kama nimesimama

Nikiwa kwenye mwendo wa speed 100 sehemu yenye mwinuko kidogo huku nikijiona mimi ni bingwa barabarani niliiona gari likija kwa nyuma yangu kwa kasi sana ilikuwa kama mita 130 nyuma yangu basi nikasema haiwezekani nikapitwa kijinga kiasi hicho nikachochea moto nikafikisha speed 125 hivi sasa nilichokuja kunishangaza ni namna yule jamaa wa crown alivyokuwa anaomba site apite yaani ilikuwa ni kitendo cha dk 6 ile gari ilinipita na sikuiona tena.

Nilijitahidi kadri ya uwezo wangu kuendesha CARINA Ti lakini niliambulia patupu
Hizi crown ni gari za safari ingawa inameza mafuta kama jini ila ni chombo cha maana nami namuomba mungu huku nikijichanga nichukue hii ndinga

Hongereni wote mnaoendesha Athletes Crown au mnaomiliki hii ndinga hakika hamjakosea
Tabia za madereva wa crown walio wengi ni kukimbia sana.
 
Jamani kimbieni sana barabarani lakini mjue barabara zetu haziruhusu hizo mbio zenu za 140kph.
Ukifika hizo speed wewe tayari unakuwa chanzo cha ajari kwani unaweza sababisha ajari bila hata kujua.
 
Mkuu we unayajua magari

Mimi hata bure siitaki

Liko chini sana labda hiyo interior features ndo mvuto kiasi chake, but hilo gari ni big nope

Extrovert
Kinacho zungumziwa ktk thread hii ni mwendo, ukikutana nalo huko main road liache lipite. Swala la gari kuwa juu ama chini hizo ni personal choices. Watengenezaji wa magari utengeneza magari kwa sifa flani flani kutokana na uhitaji wa soko na usalama pia. Crown ni gari yenye power na kasi, kuwa chini ni kwa ajili ya stability na ndio maana ata ukiwa ktk speed ya120km/hr unalala nayo ktk kona vizuri sna tofauti na hayo magari ya juu. Jaman mjue kutofautisha kati ya Sedan na Suv. Fizikia haiongopi, haya magari yenye kasi yangetengezwa yawe juu yangekuwa yanachinja watu kila siku. Muwe na mnaangalia hayo magari yana offer nini sio kusema tu ipo chini, mtengenezaji katengeneza liwe chini kwa sababu muhimu sana. Usalama wa dereva na abiria ni muhimu sana kuliko huo mtazamo wako wa kuwa juu ama chini.
 
Kinacho zungumziwa ktk thread hii ni mwendo, ukikutana nalo huko main road liache lipite. Swala la gari kuwa juu ama chini hizo ni personal choices. Watengenezaji wa magari utengeneza magari kwa sifa flani flani kutokana na uhitaji wa soko na usalama pia. Crown ni gari yenye power na kasi, kuwa chini ni kwa ajili ya stability na ndio maana ata ukiwa ktk speed ya120km/hr unalala nayo ktk kona vizuri sna tofauti na hayo magari ya juu. Jaman mjue kutofautisha kati ya Sedan na Suv. Fizikia haiongopi, haya magari yenye kasi yangetengezwa yawe juu yangekuwa yanachinja watu kila siku. Muwe na mnaangalia hayo magari yana offer nini sio kusema tu ipo chini, mtengenezaji katengeneza liwe chini kwa sababu muhimu sana. Usalama wa dereva na abiria ni muhimu sana kuliko huo mtazamo wako wa kuwa juu ama chini.
Bentayga, DBX, Urus, AMG lineup, M version.

Hiyo Crown haifikii hata nusu ya balaa la hizo version hapo juu. Na ni SUV.
 
Crown au Mark X zinaendeshwa na hypes zaidi kuliko uwezo wao. Na wanunuzi wa magari wengi washamba, wanaenda na fasheni zaidi kuliko uhalisia.

Fuga au Skyline ni silent brands ila zina balaa kuliko hao kina Crown.
Na ndiyo maana wengi wanalia lia...kisa class mate wake kanunua, na yeye anajaa humo humo bila kuzingatia vigezo na masharti....kwa kweli bongo tunapenda sana fashion...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom