Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

ka polo hakoo
Hao wenye Vanguard, mark x, crown ambao mmewapita walikuwa wanajua kama mnashindana. Mana unaweza sema nimezipita gari flani kumbe mwenzio anaendesha kawaida wala atembei kwa mashindano. Alaf hiyo polo GTI ilishawai shindanishwa na Toyota Yaris na ikaachwa mbali mno hao wenye crown hawakuwa wanashindana ila nyie ndio mlikuwa mnashindana
 
Ika jamani acheni masihara German machine zina moto ninyi niliwahi safiri na Polo GTI ya mshikaji tunaelekea Tunduma kwenye msiba wa mkwewe ***** humo njiani hakuna Crown,Vanguard wala Mark X gari pekee iliyotusumbua nadhani ilikua Sport Car ni ya IT wanayokaa watu wawili tu mpaka leo sijajua ni gari gani ile tukiwa kibati ile chuma ilitupita kama tumesimama jamaa akaanza ligi dadeki tulikaa nyuma ya ile chuma mita si zaidi ya 100 hivi pua namdomo lakini hatuikuipita speed 200+ tulikuja kuiacha kwenye beria Iringa ile siku nikaamuheshim mjerumani.

Kilichonishangaza Chuma ilikua speed 200 lakini huoni labda kwa sababu ya usiku lakini huoni kabisa kupepesuka ngoma imetulia tu..nimewahi dundia gari kadhaa Toyota IST,Mark 2,Allion,Allex ,TI na Brebis za wana lakini kwa kweli German NYOKO.
Polo vs Toyota yaris
 

Attachments

  • Drag Race - VW Polo GTI vs Toyota Yaris GRMN.mp4
    9.9 MB
Hao wenye Vanguard, mark x, crown ambao mmewapita walikuwa wanajua kama mnashindana. Mana unaweza sema nimezipita gari flani kumbe mwenzio anaendesha kawaida wala atembei kwa mashindano. Alaf hiyo polo GTI ilishawai shindanishwa na Toyota Yaris na ikaachwa mbali mno hao wenye crown hawakuwa wanashindana ila nyie ndio mlikuwa mnashindana
humu ni ushabik tu ndo ninao uona
 
Hapo South Africa Toyota Gazzoo Racing (GR) wanatengeneza hizi Toyota Runx Rsi. Hiyo Runx bei inakimbizana na Golf pia hata kwenye mbio wanatunishiana misuli na hata Golf kupitwa zote zikiwa ni stock.
 
wakati tunatambiana tukumbuke na hili
Screenshot_2020-10-18-09-27-42.jpg
Screenshot_2020-10-18-09-26-35.jpg
 
Yani mi na akili zangu timamu kabisa naenda kuhesabu pesa ninunue Crown kweli? Gari iko chini, haiko friendly kwa all weather roads, tatu ubora wake ni wa mashaka. Tatizo nimegundua wengi tunanunua magari kwa kufuata mkumbo, lakini Crown ukiacha comfortability kiasi, haina qualities za kuwa gari ya kuongelewa...
 
Yani mi na akili zangu timamu kabisa naenda kuhesabu pesa ninunue Crown kweli? Gari iko chini, haiko friendly kwa all weather roads, tatu ubora wake ni wa mashaka. Tatizo nimegundua wengi tunanunua magari kwa kufuata mkumbo, lakini Crown ukiacha comfortability kiasi, haina qualities za kuwa gari ya kuongelewa...
Gari ya kuongelewa inatakiwa iwe na sifa gani mkuu?
 
Back
Top Bottom