Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

Mapping si gharama inategemea na wewe unahitaji nini zaidi.
Millioni moja kwa engine ya 5A unafanya mapping vizuri.
kwa hiyo kwa mfano inawezekana mapping kufanyika carina TI ikawa na speed up to let say 270 km per hour? kama ndiyo speedometer itabidi ichange? kwa lugha nyingine inawezekana hiyo TI ikafanyiwa mapping ikaibeat volkswagen polo GT, au subaru GBV! au hata ikakaribia hizo?
 
kwa hiyo kwa mfano inawezekana mapping kufanyika carina TI ikawa na speed up to let say 270 km per hour? kama ndiyo speedometer itabidi ichange? kwa lugha nyingine inawezekana hiyo TI ikafanyiwa mapping ikaibeat volkswagen polo GT, au subaru GBV! au hata ikakaribia hizo?
Duuuh, mkuu umeenda mbali sana. Subaru Gvb ikiwa stock ina Hp kubwa sana na ni special kwa rally. Hapo uwezi kufananisha unakuwa ujaweka uwiano.

Gari zimewekwa speed 180 na mtengenezaji ukiifanyia mapping itavuka zaidi ya hiyo. Ndio itabidi ubadilishe dashboard, Carina kufika 270kph sijajua niliyopata kuiona imefanyiwa mapping kidogo kwa ajili ya street racing na night cruise.
 
Ulitumia siku ngapi kwenda? Na pia siku ngapi kurudi? Speed ilikuaje(average)
Mkuu 5A ni mashine ngumu Sana mwezi wa 12 mwaka Jana nilifanya Safar ya dar - Mwanza na gari halijasumbua Kwa kitu chochote tena nilipofika Mwanza nilifanya Safar ya kwenda ukerewe kupitia magu,lamadi,bunda Hadi kisorya...
Tar 28 December nimerud bila shida yeyote Hadi dar na gari iko poa Tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuuh, mkuu umeenda mbali sana. Subaru Gvb ikiwa stock ina Hp kubwa sana na ni special kwa rally. Hapo uwezi kufananisha unakuwa ujaweka uwiano.

Gari zimewekwa speed 180 na mtengenezaji ukiifanyia mapping itavuka zaidi ya hiyo. Ndio itabidi ubadilishe dashboard, Carina kufika 270kph sijajua niliyopata kuiona imefanyiwa mapping kidogo kwa ajili ya street racing na night cruise.
thanks mkuu kwa shule hii lakini si angalau 220 kph inaweza fika hiyo carina TI ikifanyiwa mapping? au mkuu hiyo uliyoona imefanyiwa mapping ilikuwa inafika mpaka ngapi kwani...
 
Duuuh, mkuu umeenda mbali sana. Subaru Gvb ikiwa stock ina Hp kubwa sana na ni special kwa rally. Hapo uwezi kufananisha unakuwa ujaweka uwiano.

Gari zimewekwa speed 180 na mtengenezaji ukiifanyia mapping itavuka zaidi ya hiyo. Ndio itabidi ubadilishe dashboard, Carina kufika 270kph sijajua niliyopata kuiona imefanyiwa mapping kidogo kwa ajili ya street racing na night cruise.
thanks mkuu kwa shule hii lakini si angalau 220 kph inaweza fika hiyo carina TI ikifanyiwa mapping? au mkuu hiyo uliyoona imefanyiwa mapping ilikuwa inafika mpaka ngapi kwani...
 
Umemeza mkuu ...ipo mark 2 ya 98 na verosa ya mwsho kutengenezwa inakuja na 1jz gte inasuka 280hp stock hapo haijaguswa popote na v8 og ya diesel inatoa 267hp hata kama hiyo verosa ingekuwa inatoa 220hp kama kina brevis bado iyo v8 haion hapo due to kitu inaitwa power to weight ratio na wala v8 sio kwamba ikakimbia sana hapana zipo gari nyingi za kawaida kabisa tena bei unaagiza haizid milion 18 na zinaweza ila hiyo v8 yako kama imepaki vile ....v8 lenyewe likifika mfano 150kph bado limetulia tofaut labda na verosa itakuwa inaruka ruka ...kifupi v8 labda isumbue suv zingne mfano prado cruza lx nk lakn sio magari madogo kama huamin kachukue hilo v8 weka kwenye runway na gari ingne ndogo afu zitest utanambia
Nakubaliana na wewe 100/%

Kuna majini yanaitwa Sunaru Forester.... Athletes Crown.... Nissan Fuga...Kuna Mazda fulan kama sikosei ni RX wanaoijua watanisahihisha kadogo hivi kanataka kufanana na Nissan Fairlady.....weka mbali na watoto..

Hizi ni baadhi ya gari zinazoonekana za kawaida sana lakini hizo V8 jamaa anazozisemea lazima zichuchumae tu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakubaliana na wewe 100/%

Kuna majini yanaitwa Sunaru Forester.... Athletes Crown.... Nissan Fuga...Kuna Mazda fulan kama sikosei ni RX wanaoijua watanisahihisha kadogo hivi kanataka kufanana na Nissan Fairlady.....weka mbali na watoto..

Hizi ni baadhi ya gari zinazoonekana za kawaida sana lakini hizo V8 jamaa anazozisemea lazima zichuchumae tu...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mazda RX8 ni pure sports car zipo zenye cylinder 4 na 6 alafu zenyewe zinabeba abiria mmoja Tu pia uzuri wa hizi gari zina horsepower kubwa
 
Nilitoka dar Chamazi saa 5 Dodoma nikaingia saa 2 asubuh nikatulia kama saa 1 pale Dodoma.
Mwanza niliingia saa 4 usiku hapo ilikuwa ni mwendo wa speed 100-140 na gari haijachemsha wala kuongeza coolant
Yani Ukaitumia saa tatu Dar Dom...acha uongo mzee baba.
 
Nakubaliana na wewe 100/%

Kuna majini yanaitwa Sunaru Forester.... Athletes Crown.... Nissan Fuga...Kuna Mazda fulan kama sikosei ni RX wanaoijua watanisahihisha kadogo hivi kanataka kufanana na Nissan Fairlady.....weka mbali na watoto..

Hizi ni baadhi ya gari zinazoonekana za kawaida sana lakini hizo V8 jamaa anazozisemea lazima zichuchumae tu...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mazda RX8 ni pure sports car zipo za Aina mbili yaani cylinder 4 na 6 alafu zenyewe zinabeba abiria mmoja Tu pia uzuri wa hizi gari zina horsepower kubwa ni kama zilivyo Subaru forester cross sports zinachanganya mapema sana Kwa sababu ya CTV transmission
BG471347_c7471c.jpg
 
Umetumia kilevi Mkuu nimesema nilitoka dar 5 usiku nikafika Dodoma saa 2 asubuh ebu piga hesabu ni masaa mangapi.... Mimi sio mtoto mdogo Hadi niandike mambo ya kijinga ya kutaka sifa mitandaoni nimeeleza kitu amabcho nimefanya Kwa faida ya muulizaji swali,soma vizuri Kwanza kabla ya kucomment kitu usichokijua
Yani Ukaitumia saa tatu Dar Dom...acha uongo mzee baba.
 
Umetumia kilevi Mkuu nimesema nilitoka dar 5 usiku nikafika Dodoma saa 2 asubuh ebu piga hesabu ni masaa mangapi.... Mimi sio mtoto mdogo Hadi niandike mambo ya kijinga ya kutaka sifa mitandaoni nimeeleza kitu amabcho nimefanya Kwa faida ya muulizaji swali,soma vizuri Kwanza kabla ya kucomment kitu usichokijua
Okey.hapo sawa
 
Nakubaliana na wewe 100/%

Kuna majini yanaitwa Sunaru Forester.... Athletes Crown.... Nissan Fuga...Kuna Mazda fulan kama sikosei ni RX wanaoijua watanisahihisha kadogo hivi kanataka kufanana na Nissan Fairlady.....weka mbali na watoto..

Hizi ni baadhi ya gari zinazoonekana za kawaida sana lakini hizo V8 jamaa anazozisemea lazima zichuchumae tu...

Sent using Jamii Forums mobile app
sure mkuu kuna nissan skyline GT, Subaru GVB, Mitsubishi Lancer evo hizi ni gari ambazo V8 hazikamati hata afanyeje
 
unapaswa jua hiyo cc 1900 inatoa hp ngap kwa hiyo gari kuna maswala ya compresion ratio..one engine ikiwa na compresion ratio kubwa kuliko nyingne obvious itakuwa na pawa kubwa then cc sio kigezo sana kina audi A4 2.0 TDI zina 190hp ni kubwa kiliko most cruiser with 4.2L pamoja na kuwa imezidiwa 2200cc
Naona watu hawakuelewi mkuu kwamba ili ufike top speed unatakiwa uifanyie mapping...ECU
 
Back
Top Bottom