humility21
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 448
- 620
Huwezi jua kwasababu model hii zipo chache sana.Thanks. Ipo unique ukiiangalia faster huwezi jua ni Altezza
Huwezi jua kwasababu model hii zipo chache sana.Thanks. Ipo unique ukiiangalia faster huwezi jua ni Altezza
Safi sana.Huwezi jua kwasababu model hii zipo chache sana.
Nimemkimbiza mmoja Chalinze Moro alianza kupita nikampa space afu nikasema ngoja nizibue nozel kwa kibaby walker changu nilimpita km kasimama akabaki ananishangaa...
Moja ya gari ambalo ni noma barabarani basi ni hili ndinga,nakumbuka jana nikiwa natokea maeneo ya RUFIJI kuja DAR ilinipa hii gari kama nimesimama
Nikiwa kwenye mwendo wa speed 100 sehemu yenye mwinuko kidogo huku nikijiona mimi ni bingwa barabarani niliiona gari likija kwa nyuma yangu kwa kasi sana ilikuwa kama mita 130 nyuma yangu basi nikasema haiwezekani nikapitwa kijinga kiasi hicho nikachochea moto nikafikisha speed 125 hivi sasa nilichokuja kunishangaza ni namna yule jamaa wa crown alivyokuwa anaomba site apite yaani ilikuwa ni kitendo cha dk 6 ile gari ilinipita na sikuiona tena.
Nilijitahidi kadri ya uwezo wangu kuendesha CARINA Ti lakini niliambulia patupu
Hizi crown ni gari za safari ingawa inameza mafuta kama jini ila ni chombo cha maana nami namuomba mungu huku nikijichanga nichukue hii ndinga
Hongereni wote mnaoendesha Athletes Crown au mnaomiliki hii ndinga hakika hamjakosea
Mzee ulishindanisha VW na Crown...guess we utakuwa motivational speaker si bure...Siku moja tukiwa na hiyo Crown tulitaka ligi na Voksiwagen tulikuwa tunaenda Arusha ilitupita Mkata wala hatukuwahi kuiona had Ieo
Kweli eeh...Fuga is amazing...ni sedan ya kiume
European cars zipo hivi boss. Jaribu na OpelMkubwa, Volvo, VW, BMW, sahani inaenda hadi 260km/h mbaya zaidi unavyokanyaga wese ndio gari iko stable haitetereki.
Hapo itakua suala la ujasiri wa dereva, lakini kama tunaongelea uwezo wa gari, haziwezi kushindana.
Story za vijiweni hizi. Unless iko tunned.Gari yoyote yenye injini ya GX100 ogopa sana.likifungua hata uwe na range rover v8 na uko spidi 200 itakupita kama umesimama na huku yenyewe imeandikwa spidi 180
Alivyoanza tu ni utata, eti gari yoyote yenye injini ya gx100.. kumbe gx100 ni engine codeStory za vijiweni hizi. Unless iko tunned.
...wacha wee...Gari yoyote yenye injini ya GX100 ogopa sana.likifungua hata uwe na range rover v8 na uko spidi 200 itakupita kama umesimama na huku yenyewe imeandikwa spidi 180
We jamaa umesoma ulichoandika kweli ?Gari yoyote yenye injini ya GX100 ogopa sana.likifungua hata uwe na range rover v8 na uko spidi 200 itakupita kama umesimama na huku yenyewe imeandikwa spidi 180
Aibu kwelikweliWe jamaa umesoma ulichoandika kweli ?
Hahahaha 🤣😆🤣...wacha wee...
Mwe mwe mweee..
Uliona wapi..
Jukwaa la mambo ya magari, atakujaje kuandika asiye na gari, wala kuwahi kumiliki.Dah hongereni jf maana humu kila mtoa post ana ndinga