Atheists tulionekana wa ajabu sana!

[/QUOTE]
Sijakwambia lazima awe nani wala nani ,hatua ya kwanza ni kufikirishwa na hayo hayo mambo ndipo tutaweza kujadili ni nani na si nani,kwanini iwe uhivi na si vile.
Huwezi ukasonga hatua ya kumtafuta ni nani,kwa nini iwe hivi na si vile wakati bado hujawa na uhakika wa kwamba kuna aliyeyafanya hayo hata kama yatakufikirisha hivyo.

Mathalani mimi pamoja na kunifikirisha still sijapata jibu la kama kuna mtengenezaji ama hayupo.

Kwangu ni ngumu kuanza kumtafuta mtengenezaji huyo kabla ya kupata jibu yupo au hayupo.

Maana hatuwezi kuwa tunafikia hitimisho la jambo kwa mafikirio tu.

Lakini iwapo wewe huwa unao huo uwezo basi tuwekee hapa hitimisho lako ña ushahidi wako and then tuanze kumsaka mhusika huyo.

Unaweza kufanya hivyo!?
 
Huwezi ukasonga hatua ya kumtafuta ni nani,kwa nini iwe hivi na si vile wakati bado hujawa na uhakika wa kwamba kuna aliyeyafanya hayo hata kama yatakufikirisha hivyo.

Mathalani mimi pamoja na kunifikirisha still sijapata jibu la kama kuna mtengenezaji ama hayupo.

Kwangu ni ngumu kuanza kumtafuta mtengenezaji huyo kabla ya kupata jibu yupo au hayupo.

Maana hatuwezi kuwa tunafikia hitimisho la jambo kwa mafikirio tu.

Lakini iwapo wewe huwa unao huo uwezo basi tuwekee hapa hitimisho lako ña ushahidi wako and then tuanze kumsaka mhusika huyo.

Unaweza kufanya hivyo!?[/QUOTE]

Hebu nitajie mfano wa kitu kimoja tu kilichowahi kukufikirisha na si mbaya ukieleza sababu zinazofanya wewe kuwa hadi sasa usione uwezekano wa kuwepo mtengenezaji?
 
Hebu nitajie mfano wa kitu kimoja tu kilichowahi kukufikirisha na si mbaya ukieleza sababu zinazofanya wewe kuwa hadi sasa usione uwezekano wa kuwepo mtengenezaji?
[/QUOTE]
1.Naona napoteza muda wangu kujadili mambo na mtu ambae kazi yake ni kujiandikia tu ili aonekane nae kaandika.

1.Kwa hiyo wakati unaniuliza mambo haya hayanifikirishi chochote hukujua tunazungumzia mambo gani kiasi cha kunitaka muda huu nikutajie tena walau kimoja?

Ndiyo kusema hujitambui au?

2.Wapi ambapo nimekwambia kuwa sijaona uwezekano wa kuwepo mtengenezaji?

Unajua kusoma? Unajua maana ya mtu kusema kuwa pamoja na kunifikirisha lakini bado sijajua iwapo yupo au hayupo mtengenezaji huyo?

Wewe uliyefikirishwa na Ulimwengu huu na vilivyomo kwa namna vilivyo kisha ukafikia hitimisho kuwa lazima mtengenezaji yupo ndiyo taja sasa na uweke hapa sababu za hitimisho lako hilo.

Na usiishie maneno pekee,weka na ushahidi kuwa lazima vilitengenezwa.

Tukishaupima na kujua kuwa lazima yupo ndipo tunaingia hatua inayofuata ya kumjua ni nani.

Narudia tena,unaweza kufanya hivyo?
 
Hebu nitajie mfano wa kitu kimoja tu kilichowahi kukufikirisha na si mbaya ukieleza sababu zinazofanya wewe kuwa hadi sasa usione uwezekano wa kuwepo mtengenezaji?
1.Naona napoteza muda wangu kujadili mambo na mtu ambae kazi yake ni kujiandikia tu ili aonekane nae kaandika.

1.Kwa hiyo wakati unaniuliza mambo haya hayanifikirishi chochote hukujua tunazungumzia mambo gani kiasi cha kunitaka muda huu nikutajie tena walau kimoja?

Ndiyo kusema hujitambui au?

2.Wapi ambapo nimekwambia kuwa sijaona uwezekano wa kuwepo mtengenezaji?

Unajua kusoma? Unajua maana ya mtu kusema kuwa pamoja na kunifikirisha lakini bado sijajua iwapo yupo au hayupo mtengenezaji huyo?

Wewe uliyefikirishwa na Ulimwengu huu na vilivyomo kwa namna vilivyo kisha ukafikia hitimisho kuwa lazima mtengenezaji yupo ndiyo taja sasa na uweke hapa sababu za hitimisho lako hilo.

Na usiishie maneno pekee,weka na ushahidi kuwa lazima vilitengenezwa.

Tukishaupima na kujua kuwa lazima yupo ndipo tunaingia hatua inayofuata ya kumjua ni nani.

Narudia tena,unaweza kufanya hivyo?[/QUOTE]

Vitu vyenye kufikirisha viko vingi na mimi nimeomba unitajie kimojawapo tu ambacho kilichokufikirisha.

Ndio hujaona uwezekano huo na ndiyo maana unapinga hata madai yenye kudai hivyo,maana yake hayo mambo hayajakufanya ufikiri kuwa kutakuwa na mtengenezaji.
 
Elimu ipi unayomaanisha? Kama ni elimu ya mashuleni basi Mimi naweza kusema si kitu pekee kinachoweza kumkomboa mwanadamu kwenye sayari hii.

Unaweza ukapata elimu lakini usiwe na uelewa au "knowledge". Ama Kwa lugha nyingine educated fools

Pili kuna watu hawajapata structured basic education, they are self taught, mfano Nikola Tesla etc; na ndio wamekua wavumbuzi wa vitu vingi ambavyo vimepelekea mapinduzi ya kiteknolojia, kifikra,kisayansi na mwishoe kuleta maendeleo na mageuzi makubwa ulimwengu.

Tatu, kuna drop outs wengi Tu ambao walikuja kugundua baadae elimu wanayoipata haiwapeleki kwenye mafanikio zaidi ya kukinzana na files zao Mfano bill gates etc.

Mwisho; elimu tunayopata majority imechakuchuliwa Sana kiasi kwamba haiwezi kutusaidia kifikra mpaka kupelekea kufanya tafiti na gunduzi mpya mbalimbali ambazo zitaleta chachu au mapinduzi ya kimaendeleo kwny sector zote. They are few privileged elites receive proper education which is the hidden education which is transferred through generations to generations to few elected individual with a purpose of controlling us majority. Ndo maana hata maprofesa wetu wa engineering hawawezi kutengeneza mashine ya kukamua juice Tu, scholia mbaya other complex techs
 
Unajua watanzania ni watu ambao tunatawaliwa kifikra na ulimwengu wa nchi zilizoendelea.

Hapo Awali Tanzania kulikuwa almost hakuna mashoga wala Lesbians lakini hivi sasa baada ya uzungu kutuingia mashoga na Lesbians wamekuwa wa kumwaga. Wasanii wetu walikuwa wanaimba nyimbo za kijamii na zenye kuhusiana na maisha yetu. Hivi sasa wasanii wanaimba nyimbo za kimagharibi na cultural traditional music is slowly fading away and replaced by what Westerners introduce into our heads. Hapo awali Vijana tulikuwa tukivaa nguo zetu vizuri na tukiongea kiswahili kilicho nyooka lakini hivi sasa vijana wanavaa suruali zinaanzia chini ya matako chupi nje na wakiongea wanabana sauti na kuslengisha kiswahili. Sasa hii naona munatuletea Ethisms na kujifanya nyinyi ndiyo mumesoma sana Science. Wacheni kutawaliwa kifikra na kuiga mambo ya wazungu.

Labda ni kuulize ni kinachokufanya usiamini Mungu?
Africa kihistoria walikuwa na miungu yao na style zao za kuabidu kabla ya ukoloni ukristo na uislam na dini nyingi zilizopo sasa zimeletwa na wakoloni
 
Mhuuu humu ndani kuna watu kabisa unaona hawana majibu.

Ila wanavyojitutumua....

NINGEPENDA SIKU MOJA TUKUTANE LIVE TUNYUKANE LIVE LABDA WENGINE TUTAELEWANA .😂😂
 
Africa kihistoria walikuwa na miungu yao na style zao za kuabidu kabla ya ukoloni ukristo na uislam na dini nyingi zilizopo sasa zimeletwa na wakoloni
Hata hao wakoloni walikuwa na miungu yao na style zao za kuabudu kabla ya ukristo na uislamu ila waliziacha na uislamu na ukristo ukasambaa na wakaleta hadi huu.
 
Ila atheists watata sana maana wanatoa madai ya kwamba hakuna Mungu halafu wanakwambia hawatakiwi kuthibitisha madai yao kwa sababu wao wamesema hayupo.
 
Unajua watanzania ni watu ambao tunatawaliwa kifikra na ulimwengu wa nchi zilizoendelea.

Hapo Awali Tanzania kulikuwa almost hakuna mashoga wala Lesbians lakini hivi sasa baada ya uzungu kutuingia mashoga na Lesbians wamekuwa wa kumwaga. Wasanii wetu walikuwa wanaimba nyimbo za kijamii na zenye kuhusiana na maisha yetu. Hivi sasa wasanii wanaimba nyimbo za kimagharibi na cultural traditional music is slowly fading away and replaced by what Westerners introduce into our heads. Hapo awali Vijana tulikuwa tukivaa nguo zetu vizuri na tukiongea kiswahili kilicho nyooka lakini hivi sasa vijana wanavaa suruali zinaanzia chini ya matako chupi nje na wakiongea wanabana sauti na kuslengisha kiswahili. Sasa hii naona munatuletea Ethisms na kujifanya nyinyi ndiyo mumesoma sana Science. Wacheni kutawaliwa kifikra na kuiga mambo ya wazungu.

Labda ni kuulize ni kinachokufanya usiamini Mungu?
Mbona umesahau kumalizia
Umesahau kusema kwamba hapo kale waafrica Tulikuwa na dini zetu lakini wakaja waarabu na wazungu na kututeletea dini zao hatimae tukajikuta tunaacha dini zetu na kufuata dini zao ,

Mkuu usifanye double standard
 
Ila atheists watata sana maana wanatoa madai ya kwamba hakuna Mungu halafu wanakwambia hawatakiwi kuthibitisha madai yao kwa sababu wao wamesema hayupo.
Sasa kitu ambacho hakipo una kithibitisha vipi kuwa hakipo
Mfano hapo ulipo endapo nikikuambia kuwa naomba unipe kikombe halafu ukatafuta kikombe ukakuta hakipo nikikueleza unithibitishie kuwa kikombe hakipo utathibitisha vipi !? Na wakati hakipo ,

Yaani kitu ambacho hakipo unathibitisha vipi kutokuwepo kwake !?
 
Mungu hakuletwa kama usemavyo, Mungu alikuwepo katika kila jamii, lugha, jamaa, taifa na dunia kwa ujumla.
Unachojaribu kueleza ni kuwa watu walichanganya utamaduni na ubinafsi katika Kumtafuta na kumuabudu huyu Mungu.

Pia jamii moja kutaka kujitofautisha na jamii nyingi kulingana na mazingira na maumbile ndivyo vilivyopelekea Mungu aonekane kagawanyika.

Ukweli ni kwamba Mungu ni yule wa wote mwenye uweza japokuwa jamii zimemmilikisha Fulani zimemmilikisha na baadhi ya mataifa kumtaifisha huku baadhi ya watu kumbinafsisha. Jambo hili limefanya jamii nyingi kuchanganyikiwa.

Mfano wa watu waliojaribu kumbinafsisha Mungu ni pamoja na Waisrael ambao kupitia kitabu cha historia yao ambacho wengi hukiita kitabu kitakatifu "BIBLIA". Husema;
Mungu wa Ibrahimu, Isaka na yako, huku ni kumbinafsisha Mungu wa wote. Na ikiwa Mungu angekuwa wa Mtu mmoja mmoja basi ni wazi asingeweza kuwa wa Ulimwengu mzima.

Vitabu vya Biblia hasa Agano la kale, viliandikwa kiokombozi zaidi. Ukombozi pekee uliokusudiwa ulikuwa ni ukombozi wa taifa la Israel katika dunia hii. Hata alieandika vitabu vya mwanzoni kabisa alikuwa ni Mwanamapinduzi au Mkombozi wa awali wa taifa hilo. Mwanamapinduzi huyo na mwanaharakati ambaye aliitwa Nabii ili kwa malengo mahususi ndiye aliyeanzisha Vuguvugu kwa taifa hili ambalo lipo katika msuguano mpaka leo.

Nabii Musa mwanamapinduzi ndiye aliyeandika vitabu vitano vya awali katika biblia, aliandika vitabu hivyo kwa mtindo wa ubinafsi kwa taifa lake.
Nasema kwa Ubinafsi nikiwa namaanisha kabisa kutokana na baadhi ya visa vilivyomo katika vitabu vyake.

Aidha kuna kisa cha Yakobo na Esau ambacho kinaonyesha dhahiri lengo la mwandishi wa vitabu hivyo. Yakobo ambaye ndiye Israel aliutwaa ukubwa kwa Esau ambaye ni Baba wa waEdomu. Kisa hicho cha kusisimua kinaonyesha lengo kamili la mwandishi ambalo ni ubinafsi kwani Yakobo hakuwa na khaki yoyote ya kupata baraka ama kurithi katika familia ya Isaka. Musa akiwa mwanzilishi wa Kitabu cha Biblia kwa maandishi yake ndiye mtu aliyeleta mgogoro wa Uwapo wa Mungu.

Mfano wa Pili ni Wa Isaka na Ishimael.
Ubinafsi wa mwandishi katika kutetea asili ya mababu yake aliweza kuudhihirisha. Kisheria Mtoto wa kwanza hasa wakiume ndie anayetakiwa kuwa mrithi wa Mali.

Mtunzi Musa alijua kabisa Ishmael sio wa Taifa lake hivyo kumtukuza lilikuwa ni jambo baya sana kwake. Ukisoma kwa makini aya za kisa kile unaona jinsi Mungu alivyokuwa upande wa Ishmael.

Kama mtoto wa nje yaani wa mtumwa hajri hawezi kuwa Mrithi ilikuwaje kwa Yakobo na Wake zake wanne ambao kila mmoja alipata gawio katika nchi ya Kanani.

Biblia inasema kuwa Ibrahimu atabarikiwa na kuwa taifa kubwa lakini mtoto wake mmoja ambaye ni Ishmael ambaye ni wakwanza anafichwa kabisa pamoja na watoto zake wengine kwa mkewe Ketura. Watoto hawa wa ibrahimu Historia yao inawekwa kapuni na mwandishi Wa kitabu cha Mwanzo katika Biblia. Huku watoto wa Yakobo(Israel) wakiibuka kidedea katika historia. Moja ya sababu kubwa ni kuwa Mwandishi Musa alitoka katika moja ya makabila ya Israel hivyo huenda aliandika kwa ubinafsi au kwa kutojua ama kufuatilia vizuri historia ya vizazi vingine vya Ibrahimu.

Jambo jingine ambalo Musa alililenga si kumtangaza Mungu kama baadhi ya watu wadhaniavyo. Musa alishindwa kuandika mambo ya Msingi ikiwemo Asili ya mwanadamu. Ameelezea juu juu chimbuko la mwanadamu kana kwamba hakuona umuhimu wake. Pengine tusimlaumu kwa kutoelezea chimbuko lake kwani huenda hata yeye hakujua au hakuwa na taarifa muhimu zenye manufaa.
Musa alishindwa kuelezea Kwa kivipi Watoto Wa Adamu walivyopata wake zao.
Pia watu wengine walitoka wapi ambao Kaini aliogopa wasije wakamuua.

Mwandishi huyu pia alitumia lugha ambayo kimsingi huweza kumletea utata mtu mwenye akili ndogo au kubwa. Kwa mfano kitendo cha kusema Nyoka akamdanganya Hawa bado kinautelezi katika fikra za watu wengi.
Iweje nyoka amdanganye hawa wakati hakupewa uwezo kama binadamu aliye mfano wa Mungu.

Lugha ya mafumbo ya kitabu cha Mwanzo huwagawa watu katika makundi mbalimbali. Wapo wanaoachwa solemba kwa akili ndogo na wapo wanaotoa tafsiri kulingana nauwezo mkubwa wa akili zao.

Kwa mfano ikiwa wapo wanaofikiria kuwa nyoka alikuwa ni Shetani huku wakijiona wapo sawa basi hata wale wanaoona Tunda lilikuwa ni uchi au sex huenda nao wakawa sawa.

Musa hamtaji Shetani Mara kwa Mara jambo ambalo linazua utata. Mara nyingi hutumia watu Kama wachawi, waganga, wanajimu n.k. Jambo ambalo hakuna anayeweza kuthibitisha kuwa huu ni Uchawi au ni muujiza. Na upi ni Mungu na upi ni washetani. Kwa bahati mbaya wote husema wanamtumia Mungu. Hivyo kila upande humwona mwenzake ni Mchawi atumiwaye na Shetani.

Musa alijikita kuelezea Historia ya taifa lake na kusahau historia ya mwanadamu. Ndio maana naweza kusema Musa alisahau iwe kwa kujua au laa kusimulia habari muhimu za asili ya mwanadamu.

Dunia ipo hivi Leo kwasababu ya Musa, japokuwa kuna Imani nyingi lakini nyingi zinaamini kulikuwa na Adamu na Hawa.

Historia ya mwanadamu ikiwekwa sawa ndio ukweli kuhusu Mungu kuwepo haitakuwa na Mashaka.

Mungu yupo sema waandishi ndio huongozwa na athari mbalimbali katika kumwelezea hivyo hujikuta wakiacha maswali mengi kwa kuacha kusimulia baadhi ya matukio ya Msingi.

Musa alikuwa na athari ya elimu za kimisri hivyo lazima umakini uwepo katika kusoma habari zake na lengo lake na nafasi yake.
Mussa alikuwa Ni tapeli wa kisiasa kamchafua Sana pharao Ramisesse ili ionekane kuwa pharaoh Ni mtu mbaya kamuandika vibaya Sana nampaka Leo hii Kuna watu wengi ambao Ni mambumbumbu wanao amini kuwa pharaoh alikuwa Ni mtu mbaya ,mpaka Leo hii kuna mambumbumbu wanao amini mussa alipiga fimbo bahari na bahari ikaachana ,, mussa alikuwa mshenzi Sana dunia iendelee kumlaani huko alipo
 
Ndio ukweli wenyewe.... Mungu ana uwezo mkubwa mkubwa sana asingechoose njia hii ya kumjua yeye. This one is not the best approach kuwaweka wazi viumbe, kuna watu use religion belief kama njia ya kurubuni watu wasio na hatia. Wanamiliki mali nyingi kutokana na kubrainwash innocent people...they demand vitu vya thamani kwa kuwatisha watu hawhatia

Mungu alikuwa na uwezo wa kutufikishia meseji kupitia ndoto...kupitia malaika wake its very simple. Hivi kuna anabisha suala la kwenda chooni?? iko obvious, why Mungu mpka mtumie mtu mwingine kutufikishia meseji alafu mtu huyo aache watu wengine wasimuliane... hii ni moja ya sayansi yenye udhaifu. How do u know the scriptures has not changed... kwamba hakuna mtu aliyeweka interest zake ndani yake?? Uislamu unasema kila binadamu anatembea na malaika wawili.. mmoja anaandika maovu yako na mwengine anaandika mema yako... embu jiulize mbona teknolojia hii ya Mungu inapinga na uwezo wake... kwa maana hiyo Mungu ana wasaidizi wake, how come Mungu asaidiwe kuandikiwa zambi na mema za waja wake / viumbe vyake??? Alafu anakuja kupewa a compiled report kuhusu mienendo yetu au mnampa Mungu ukurugenzi au?... yaani haina tofauti na mtu alieajiri walinzi wamlindie mali zake. Why Mungu tunamvisha ubinadamu, awe na matendo ya kibinadamu how???
yaani mungu licha ya uwezo mkubwa wote wa kufikiri alionao na kuyajua yaliyopita na yajayo eti anashindwa kutumia uwezo wake huo kujua Kama mtu atatenda mema au dhambi mwisho wa siku kaumba viumbe ili vimsaidie kukusanya DATA ZA BINAADAMU!?

AHHHHGGH KMMMK hii dunia ina laaana watu waongo Sana mamaee
 

Similar Discussions

34 Reactions
Reply
Back
Top Bottom