Atheists tulionekana wa ajabu sana!

Anaeuliza swali kama Yesu alikuwepo! Mungu hana mtoto na hawezi kutoa kafara. Ni fix iliyoenda shule
 
Hahahha...Kwaiyo ulimwengu umetokea wap??? Kwa unavoelewa ww..
Ukinisakizia swali la kuwa naelewa Ulimwengu ulikotoka unakuwa unanionea.

Unanionea kwa sababu hakuna mahali nilipoanzisha ama kusema Ulimwengu huu umeanzia mahala.

Wewe uliyeanzisha huu mjadàla ndiye unapaswa uwe unatupatia majibu.

Ndiyo maana
Hahahha...Kwaiyo ulimwengu umetokea wap??? Kwa unavoelewa ww..
Ni sababu ipi inayokufanya udhanie kuwa Ulimwengu huu umetokea mahala fulani?

Au kwa nini unadhani kuwa Ulimwengu huu una chanzo?

Hujajibu swali hili.
 
Ukinisakizia swali la kuwa naelewa Ulimwengu ulikotoka unakuwa unanionea.

Unanionea kwa sababu hakuna mahali nilipoanzisha ama kusema Ulimwengu huu umeanzia mahala.

Wewe uliyeanzisha huu mjadàla ndiye unapaswa uwe unatupatia majibu.

Ndiyo maana

Ni sababu ipi inayokufanya udhanie kuwa Ulimwengu huu umetokea mahala fulani?

Au kwa nini unadhani kuwa Ulimwengu huu una chanzo?

Hujajibu swali hili.
Kwaiyo unataka kusema kwamba dunia au binadamu hawana chanzo????
 
Hahhahha kaka unaogopa sana hilo...sijasema kuna sehem umezungumzia...bas niambie original yake hivo vitu.. Au niambie kwann miaka tunahesabu na kusema bc mfano 200bc..???
Siyo kwamba naogopa,shida ni kwamba maswali yako yanakosa msingi wa awali na hivyo kukosa maana.

Ukiambiwa ufafanue unakimbiakimbia tu.

Ni sawa na mimi nije nikuulize kuwa niambie kwa nini Rais Trump si mwanaume!

Na wakati huohuo hujawahi kuzungumzia habari za Trump popote.

Sasa hapo lazima unirudishie swali hilo la nini msingi wa swali langu kwako kukuomba uniambie kwa nini jamaa eti si mwanaume.
Ndicho unachokifanya hapa wewe.

Na bado unarudia makosa yaleyale ya kuuliza habari za mwanzo wa Ulimwengu ilihali huna uhakika iwapo kweli Ulimwengi huu una chanzo.

Ndiyo maana nimekuuliza wapi ulipojifunza kuwa lazima Ulimwengu una chanzo?

Hutaki kujibu!

Habari za BC na AD zilitungwa tu kutokana na idea/intention za waanzilishi wa kalenda.

Ndiyo maana tuna majina kama August,July na mengineyo ambayo ni majina ya watu/vitu na yalipewa heshima hiyo na wagunduzi wa tarehe hizo.

Kama hujui hata hii kalenda ya kidunia tuitumiayo ilianzishwa na Papa Gregory (Gregorian calendar) so,ilikuwa virahisi kuingiza maneno BC na AD kwa wakati huo kisa tu walioandika hivyo walitekwa na fikira za kidini ambazo tokea mwanzo zilikuwa na makosa kibao.

Na wakosoaji kama wakina Galileo Galilei walipopaza sauti zao kuonesha makosa hayo waliishia kunyongwa na tawala dhalimu za kidini.

Yaani ni kama tulilazimishwa kimabavu na wenye nguvu kuyapokea mapokeo yale.

Kwa sasa taratibu yanajiondoa menyewe.

Is a matter of time tu habari hizi zote zitakuwa crashed and perished!.
 
Siyo kwamba naogopa,shida ni kwamba maswali yako yanakosa msingi wa awali na hivyo kukosa maana.

Ukiambiwa ufafanue unakimbiakimbia tu.

Ni sawa na mimi nije nikuulize kuwa niambie kwa nini Rais Trump si mwanaume!

Na wakati huohuo hujawahi kuzungumzia habari za Trump popote.

Sasa hapo lazima unirudishie swali hilo la nini msingi wa swali langu kwako kukuomba uniambie kwa nini jamaa eti si mwanaume.
Ndicho unachokifanya hapa wewe.

Na bado unarudia makosa yaleyale ya kuuliza habari za mwanzo wa Ulimwengu ilihali huna uhakika iwapo kweli Ulimwengi huu una chanzo.

Ndiyo maana nimekuuliza wapi ulipojifunza kuwa lazima Ulimwengu una chanzo?

Hutaki kujibu!

Habari za BC na AD zilitungwa tu kutokana na idea za waanzilishi wa kalenda.

Ndiyo maana tuna majina kama August,July na mengineyo ambayo ni majina ya watu/vitu na yalipewa heshima hiyo na wagunduzi wa tarehe hizo.

Kama hujui hata hii kalenda ya kidunia tuitumiayo ilianzishwa na Papa Gregory (Gregorian calendar) so,ilikuwa virahisi kuingiza maneno BC na AD kwa wakati huo kisa tu walioandika hivyo walitekwa na fikira za kidini ambazo tokea mwanzo zilikuwa na makosa kibao.

Na wakosoaji kama wakina Galileo Galilei walipopaza sauti zao kuonesha makosa hayo waliishia kunyongwa na tawala dhalimu za kidini.

Yaani ni kama tulilazimishwa kimabavu na wenye nguvu kuyapokea mapokeo yale.

Kwa sasa taratibu yanajiondoa menyewe.

Is a matter of time tu habari hizi zote zitakuwa crashed and perished!.
Sawa kiongozi..nimekuelewa mimi sijauliza from no where lengo langu ..ni kukuleta huku kwenye kujua chanzo cha dunia ambacho mimi nasema Ni Mungu ndio aliyeumba....ambapo mimi nasema yuko hai na anaishu...

Je wewe unawazo gan kuhusu hili???


Pia bc na ad ni waz kwamba before christ yaan dunia nzima ilikua formatted nakuanza kuhesabu miaka baada ya yesu kuzaliwa hili liko wazi....


Haya naomba uniambie uyo galileo alisema miaka imeanza lini paka akanyongwa??
 
Sawa kiongozi..nimekuelewa mimi sijauliza from no where lengo langu ..ni kukuleta huku kwenye kujua chanzo cha dunia ambacho mimi nasema Ni Mungu ndio aliyeumba....ambapo mimi nasema yuko hai na anaishu...

Je wewe unawazo gan kuhusu hili???


Pia bc na ad ni waz kwamba before christ yaan dunia nzima ilikua formatted nakuanza kuhesabu miaka baada ya yesu kuzaliwa hili liko wazi....


Haya naomba uniambie uyo galileo alisema miaka imeanza lini paka akanyongwa??
Kabla ya kunipeleka huko kwenye chanzo cha dunia unaweza ukathibitisha kuwa dunia ina mwanzo?

Unanishawishije nami kujua dunia ina mwanzo?

Na kabla hujasema dunia imeumbwa na Mungu, unaweza ukathibitisha kwanza uwepo wake!?

Kwamba Mungu wako anaishi,unaamini hivyo ama unajua hivyo?

Hebu ngoja nikuwahishe tu kwa sababu unazunguka na hoja ambazo wala hazina msaada kwa unachokipigania hapa.

Ni hivi,unapolazimisha dunia kuwa na chanzo, huo si uthibitisho wa uwepo wa Mungu,bali ni uthibitisho wa kutokuwepo kwake.

Maana kama kila kitu lazima kiwe na mwanzo basi hata Mungu wenu lazima awe na chanzo na hivyo kutokuwa Mungu tena.

Kama inawezekana Mungu kutokuwa na mwanzo basi nadharia hiyohiyo ikupeleke kwenye fikira kuwa hata Ulimwengu na vilivyomo si lazima viwe na chanzo.

Lakini pia hata kama Ulimwengu una chanzo,chanzo hicho si lazima awe ni Mungu mjuzi wa yote,mwenye upendo wote na mwenye uwezo wote.

Inawezekana chanzo hicho kikawa ni kingine kabisa ambacho wewe bado hujakijua tu.

Ni wajibu wetu sasa kuendeleza tafiti kujua ukweli badala ya kujifunga kwenye vitabu vya uongo vinavyoitwa vya Mungu, ambavyo msingi wake mkuu ni kuamini tu pasina kuhoji na kufanya utafiti wa kuujua ukweli.

Na Mungu huyo wa sifa hizo nilizozisema anayetajwa na vitabu hivyo kuwa kaumba huu Ulimwengu, kiuhalisia hayupo!.

Na si kwamba hayupo kwa sababu haonekani,

Hayupo kwa sababu habari zake zinajipinga zenyewe kabla hata hazijapingwa na yeyote, na hivyo kufanya asiwezekane kuwepo.

Ni sawa na kukwambia kuna mtu ana kichwa kikubwa kuzidi ukubwa wa dunia, anaishi ndani ya uwanja wa taifa pale Dar es salaam!

Kama wewe una akili timamu utabaini kuwa mtu wa namna hii hawezekaniki kuwepo ndani ya mipaka ya dunia hii.

Kwa hivyo huhitaji kwenda kufungua mageti ya uwanja na kumsakamo ili kujua kuwa mtu huyo hayumo mle ndani ya uwanja wa taifa.

BC na AD zimeanza kutumika around 3000 yrs ago.

Wakati Ulimwengu huu una mabilioni ya miaka upo.

Kwa fikira zako watu walioishi miaka zaidi ya 3000 iliyopita, walitumia nini kuhesabu muda?

Ukijiuliza hapa ndipo utajua hoja yako ya BC na AD haiwezi ikawa na nguvu kuonesha uwepo wa Yesu na Mungu wenu.

Na nimeshakwambia watu wa kale (especially around 2000 yrs ago) walitumia maneno haya mnayoyaita ya imani kufanikisha mambo yao, na kuna mahala walipokwama walilazimisha!.

Ndiyo maana agents of colonialism in Africa wamo na wamisionari.

Unashindwa nini kujua hizi BC na AD zililazimishwa na watawala kwa faida zao ila hazina uhalisia wowote?

Hapo mwisho nilitoa mfano mdogo tu wa Galileo, kuonesha namna wakosoaji wa imani hizi lazimishi za dini walivyopotezwa.

Galileo hakunyongwa sababu ya BC na AD,alinyongwa na 'wacha Mungu' kama wewe wa dola ya Roma kisa alisapoti na kueneza habari za Heliocentrism (Jua kuwa stationary kwenye solar system na dunia kulizunguka).

Habari hizi zilianzishwa na Aristarchus na kuungwa mkono na wanasayansi kadhaa, akiwemo Nicolus Copernicus wakati dini zinahubiri Jua linatembea na dunia ndiyo imesimama ktk mfumo wa jua.

Na kuna andiko ndani ya biblia linasema nabii Eliya alisimamisha jua!.

Kitendo cha Galilei kusema jua halitembei ktk solar system kikamaanisha kwenda kinyume na andiko ndani ya kitabu potofu cha watawala(bible) na hivyo ikamgharimu.

Kwa nini?

Kwa sababu ni kama alianza kutibua mipango na ulaji wa mabwanyenye kwa kuwafumbua watu kifikira!.

Sijui umenielewa!?.
 
Kabla ya kunipeleka huko kwenye chanzo cha dunia unaweza ukathibitisha kuwa dunia ina mwanzo?

Unanishawishije nami kujua dunia ina mwanzo?

Na kabla hujasema dunia imeumbwa na Mungu, unaweza ukathibitisha kwanza uwepo wake!?

Kwamba Mungu wako anaishi,unaamini hivyo ama unajua hivyo?

Hebu ngoja nikuwahishe tu kwa sababu unazunguka na hoja ambazo wala hazina msaada kwa unachokipigania.

Ni hivi,unapolazimisha dunia kuwa na chanzo, huo si uthibitisho wa uwepo wa Mungu,bali ni uthibitisho wa kutokuwepo kwake.

Maana kama kila kitu lazima kiwe na mwanzo basi hata Mungu wenu lazima awe na chanzo na hivyo kutokuwa Mungu tena.

Kama inawezekana Mungu kutokuwa na mwanzo basi nadharia hiyohiyo ikupeleke kwenye fikira kuwa hata Ulimwengu na vilivyomo si lazima viwe na chanzo.

Lakini pia hata kama Ulimwengu una chanzo,chanzo hicho si lazima awe ni Mungu mjuzi wa yote,mwenye upendo wote na mwenye uwezo wote.

Inawezekana chanzo hicho kikawa ni kingine kabisa ambacho wewe bado hujakijua tu.

Ni wajibu wetu sasa kuendeleza tafiti kujua ukweli badala ya kujifunga kwenye vitabu vya uongo vinavyoitwa vya Mungu.

Maana huyo Mungu wa sifa hizo nilizozitaja anayetajwa na vitabu hivyo kuwa kaumba huu Ulimwengu, kiuhalisia hayupo.

Na si kwamba hayupo sababu haonekani.

Hayupo kwa sababu habari zake zinajipinga zenyewe hata kabla hazijapingwa na yeyote na hivyo kufanya asiwezekane kuwepo.

Ni sawa na kukwambia kuna mtu ana kichwa kikubwa kuzidi ukubwa wa dunia ila anaenea duniani na anaishi ndani ya uwanja wa taifa pale Dar es salaam!

Mtu wa hivi hawezekaniki kuwepo ndani ya mipaka ya dunia hii.

Kwa hivyo huhitaji kwenda kufungua mageti ya uwanja na kumsakamo ili kujua mtu huyo hayumo mle ndani ya uwanja wa taifa.

BC na AD zimeanza kutumika around 3000 yrs ago.

Wakati Ulimwengu huu una mabilioni ya miaka upo.

Kwa fikira zako watu walioishi miaka zaidi ya 3000 iliyopita, walitumia nini kuhesabu muda?

Ukijiuliza hapa ndipo utajua hoja yako ya BC na AD haiwezi ikawa na nguvu kuonesha uwepo wa Yesu na Mungu wenu.

Na nimeshakwambia watu wa kale (especially around 2000 yrs ago) walitumia maneno haya mnayoyaita ya imani kufanikisha mambo yao, na kuna mahala walipokwama walilazimisha!.

Ndiyo maana agents of colonialism in Africa wamo na wamisionari.

Unashindwa nini kujua hizi BC na AD zililazimishwa na watawala kwa faida zao ila hazina uhalisia wowote?

Hapo mwisho nilitoa mfano mdogo tu wa Galileo, kuonesha namna wakosoaji wa imani hizi lazimishi za dini walivyopotezwa.

Galileo hakunyongwa sababu ya BC na AD,alinyongwa na 'wacha Mungu' kama wewe wa dola ya Roma kisa alisapoti na kueneza habari za Heliocentrism (Jua kuwa stationary kwenye solar system na dunia kulizunguka).

Habari hizi zilianzishwa na Aristarchus na kuungwa mkono na wanasayansi kadhaa, akiwemo Nicolus Copernicus wakati dini zinahubiri Jua linatembea na dunia ndiyo imesimama ktk mfumo wa jua.

Na kuna andiko ndani ya biblia linasema nabii Eliya alisimamisha jua!.

Kitendo cha Galilei kusema jua halitembei ktk solar system kikamaanisha kwenda kinyume na andiko ndani ya kitabu potofu cha watawala(bible) na hivyo ikamgharimu.

Kwa nini?

Kwa sababu ni kama alianza kutibua mipango na ulaji wa mabwanyenye kwa kuwafumbua watu kifikira!.

Sijui umenielewa!?.
Kwanza hata habari za uwepo wa mungu na wale wenye unasaba nao bado ni jambo tata sana.

1. Bikira mariam alipewa mimba kwa uwezo wa roho mtakatifu. Bado hadi leo mariam anaitwa bikira ingawa alishamzaa the so called Jesus.

2. Kaini baada ya kumwua nduguye alipotelea kusikojulikana. Inakuja kuonekana alioa. Alioa jamii gani kama sisi ni uzao wa Adam na hawa?
3. Kufa kwa yesu ni kafara au? Haiwezekani kama ni mwenye upendo aliamua mwanae afe. Ni mzazi gani? Ndo mana mimi naamini hizi ni story kama za abunuas tu.
4. Kama mungu ni wa wote kwanini wengine wazaliwe vilema, wengine tuwe maskini na wengine matajiri? Kwanini tusiwe sawa?
5. Kama mungu ndo mtoa riziki kwanini tutoe sadaka tena siku hizi ni sheria kutoa sadaka na zaka, ubatizo bila hela hakuna, ndoa nazo ni pesa. Bei ya biblia ni kubwa kuliko ya sukari. Mungu ni mfanyabiashara?

Nina mengi najiuliza lakini niishie tu hapo.
 
wewe kama umshindwa kuelezea origin ya binadamu au hii dunia..bas faham kuna anayejua mwanzo wake na mwisho wake na kila kitu in order... only one GOD

Huyo God ajitokeze adhibitishe..hana haja yakuwatuma hawa matapeli/madalali wake wachungaji wenu kuja kumdhibitisha kwa maneno matupu...

Bila shaka huyu mungu wenu ni mzembe sana sasa sijui alipata wapi uwezo wakuwaumba nyny na nyoka anaeongea..
hahahaaa...
 
Mimi hata grup langu la chuo wananiona wa ajabu hasa pale ninapo wapinga live kuhusu huyo mungu.
Lkn kwasasa naona kuna baadhi wamebadilika na kuwa open mind.

Mwanzon unaonekana km jiti lililokosa adabu, lihuni lkn kadri unavyowatemea facts wakaanza kunielewaa.

Sasa tunaheshimiana na wengi kwasasa hawajishughulishi na mambo ya imani km zaman
Upagani nayo ni imani.Hauna haja ya kumpinga Mungu.Wewe simamia imani yako ya kipagani tu.

Ukiwa mkristo hakuna haja ya kupinga uislamu.Vivyo hivyo ukiwa mpagani hakuna haja ya kumpinga Mungu.
 
Huyo God ajitokeze adhibitishe..hana haja yakuwatuma hawa matapeli/madalali wake wachungaji wenu kuja kumdhibitisha kwa maneno matupu...

Bila shaka huyu mungu wenu ni mzembe sana sasa sijui alipata wapi uwezo wakuwaumba nyny na nyoka anaeongea..
hahahaaa...
kwan wewe unaamini una roho????????
 
Kabla ya kunipeleka huko kwenye chanzo cha dunia unaweza ukathibitisha kuwa dunia ina mwanzo?

Unanishawishije nami kujua dunia ina mwanzo?

Na kabla hujasema dunia imeumbwa na Mungu, unaweza ukathibitisha kwanza uwepo wake!?

Kwamba Mungu wako anaishi,unaamini hivyo ama unajua hivyo?

Hebu ngoja nikuwahishe tu kwa sababu unazunguka na hoja ambazo wala hazina msaada kwa unachokipigania hapa.

Ni hivi,unapolazimisha dunia kuwa na chanzo, huo si uthibitisho wa uwepo wa Mungu,bali ni uthibitisho wa kutokuwepo kwake.

Maana kama kila kitu lazima kiwe na mwanzo basi hata Mungu wenu lazima awe na chanzo na hivyo kutokuwa Mungu tena.

Kama inawezekana Mungu kutokuwa na mwanzo basi nadharia hiyohiyo ikupeleke kwenye fikira kuwa hata Ulimwengu na vilivyomo si lazima viwe na chanzo.

Lakini pia hata kama Ulimwengu una chanzo,chanzo hicho si lazima awe ni Mungu mjuzi wa yote,mwenye upendo wote na mwenye uwezo wote.

Inawezekana chanzo hicho kikawa ni kingine kabisa ambacho wewe bado hujakijua tu.

Ni wajibu wetu sasa kuendeleza tafiti kujua ukweli badala ya kujifunga kwenye vitabu vya uongo vinavyoitwa vya Mungu, ambavyo msingi wake mkuu ni kuamini tu pasina kuhoji na kufanya utafiti wa kuujua ukweli.

Na Mungu huyo wa sifa hizo nilizozisema anayetajwa na vitabu hivyo kuwa kaumba huu Ulimwengu, kiuhalisia hayupo!.

Na si kwamba hayupo kwa sababu haonekani,

Hayupo kwa sababu habari zake zinajipinga zenyewe kabla hata hazijapingwa na yeyote, na hivyo kufanya asiwezekane kuwepo.

Ni sawa na kukwambia kuna mtu ana kichwa kikubwa kuzidi ukubwa wa dunia, anaishi ndani ya uwanja wa taifa pale Dar es salaam!

Kama wewe una akili timamu utabaini kuwa mtu wa namna hii hawezekaniki kuwepo ndani ya mipaka ya dunia hii.

Kwa hivyo huhitaji kwenda kufungua mageti ya uwanja na kumsakamo ili kujua kuwa mtu huyo hayumo mle ndani ya uwanja wa taifa.

BC na AD zimeanza kutumika around 3000 yrs ago.

Wakati Ulimwengu huu una mabilioni ya miaka upo.

Kwa fikira zako watu walioishi miaka zaidi ya 3000 iliyopita, walitumia nini kuhesabu muda?

Ukijiuliza hapa ndipo utajua hoja yako ya BC na AD haiwezi ikawa na nguvu kuonesha uwepo wa Yesu na Mungu wenu.

Na nimeshakwambia watu wa kale (especially around 2000 yrs ago) walitumia maneno haya mnayoyaita ya imani kufanikisha mambo yao, na kuna mahala walipokwama walilazimisha!.

Ndiyo maana agents of colonialism in Africa wamo na wamisionari.

Unashindwa nini kujua hizi BC na AD zililazimishwa na watawala kwa faida zao ila hazina uhalisia wowote?

Hapo mwisho nilitoa mfano mdogo tu wa Galileo, kuonesha namna wakosoaji wa imani hizi lazimishi za dini walivyopotezwa.

Galileo hakunyongwa sababu ya BC na AD,alinyongwa na 'wacha Mungu' kama wewe wa dola ya Roma kisa alisapoti na kueneza habari za Heliocentrism (Jua kuwa stationary kwenye solar system na dunia kulizunguka).

Habari hizi zilianzishwa na Aristarchus na kuungwa mkono na wanasayansi kadhaa, akiwemo Nicolus Copernicus wakati dini zinahubiri Jua linatembea na dunia ndiyo imesimama ktk mfumo wa jua.

Na kuna andiko ndani ya biblia linasema nabii Eliya alisimamisha jua!.

Kitendo cha Galilei kusema jua halitembei ktk solar system kikamaanisha kwenda kinyume na andiko ndani ya kitabu potofu cha watawala(bible) na hivyo ikamgharimu.

Kwa nini?

Kwa sababu ni kama alianza kutibua mipango na ulaji wa mabwanyenye kwa kuwafumbua watu kifikira!.

Sijui umenielewa!?.
asante sana kwa hoja zako


.1 . hujaniambia kwnini bc na ad zilianza kutumika na kuendelea kutumika ad leo..swala galileo kunyongwa halihusiani na bc na ad... so uniambie kwann iyo miaka kadhaa nyuma ilifutwa na kuendelea na bc na ac kifipind cha yesu...

2. unakataa uwepo wa MUNGU kwa point kwamba humuoni...
je kila kisichoonekana hakipo???

3.. unasema dunia inaweza kua na cchanzo kingine... lakini hakuna mtu yeyote dunian aliyeweza kusema chanzo cha dunia wala binadamu wala mmnyama mpaka leo...na kikawaida kitu hakiwez tokea chenyewe...

4... mungu hajipingi yeye akili zake hazichunguziki..yeye ni alpha na omega yaana ukitamka mwanzo maana yake ni yeye na mwisho maana ni yeye...

5..je unakubali ya kwamba YESU. ALIISHI HAPA DUNIANI??????????????...

THANKS IN ADVANCE
 
asante sana kwa hoja zako


.1 . hujaniambia kwnini bc na ad zilianza kutumika na kuendelea kutumika ad leo..swala galileo kunyongwa halihusiani na bc na ad... so uniambie kwann iyo miaka kadhaa nyuma ilifutwa na kuendelea na bc na ac kifipind cha yesu...

2. unakataa uwepo wa MUNGU kwa point kwamba humuoni...
je kila kisichoonekana hakipo???

3.. unasema dunia inaweza kua na cchanzo kingine... lakini hakuna mtu yeyote dunian aliyeweza kusema chanzo cha dunia wala binadamu wala mmnyama mpaka leo...na kikawaida kitu hakiwez tokea chenyewe...

4... mungu hajipingi yeye akili zake hazichunguziki..yeye ni alpha na omega yaana ukitamka mwanzo maana yake ni yeye na mwisho maana ni yeye...

5..je unakubali ya kwamba YESU. ALIISHI HAPA DUNIANI??????????????...

THANKS IN ADVANCE
Wewe hata kusoma na kuelewa hujui kwa hiyo napoteza muda wangu bure tu kumfundisha hesabu za logarithms sisimizi.

1.Nimeshakwambia zilianza kutumika kwa sababu ya Hobie's za watu wa kizazi cha around miaka ya 2000 iliyopita.

Nje ya Hobie's hakuna ukweli wowote wa habari za Yesu.

Na taratibu zitaondoka tu kama ambavyo habari za jua kuzunguka dunia zilivyoondoka.

Kama unadhani Yesu alikuwepo kweli na ndiye msingi wa uanzishwaji wa BC na AD weka datà hapa,mbona unambwela?.

2.Hakuna mahala niliposema nakataa uwepo wa Mungu kisa haonekani.

Rudia kusoma mahala hapo,maana nashangaa pamoja na kukesha unasoma comment ile ila hujaielewa.

3.Sijasema dunia inaweza kuwa na chanzo kingine,nimesema "hata kama".

Unaelewa maana ya neno hata kama?.

Na kama kitu hakiwezi kutokea chenyewe, niambie Mungu wako àlitoka wapi!

Sitaki mahubiri ya hakuanza wala hatakwisha ambayo hayathibitishiki.

Hata mimi naweza sema dunia haikuanza na wala haitakwisha bila uthibitisho, kama usemavyo wewe na nikawa sawa tu.

Maana haiwezekani less complex kama dunia useme lazima iwe na chanzo halafu most complex (muumbaji wa hiyo dunia) awe hana chanzo.

Ni mjinga pekee anayeweza kubali huu upuuzi.

4.Ni kweli akili za Mungu hazichunguziki,

Ni kwa sababu hayupo!.

Wewe unaweza ukachunguza akili za kitu kisichokuwepo?.Si utakuwa chizi!

5.Kabla ya kuniuliza habari za Yesu, unaweza ukaweka ushahidi kuwa alikuwepo kweli na siyo hadithi za kutungwa tu?

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
 
Wewe hata kusoma na kuelewa hujui kwa hiyo napoteza muda wangu bure tu kumfundisha hesabu za logarithms sisimizi.

1.Nimeshakwambia zilianza kutumika kwa sababu ya Hobie's za watu wa kizazi cha around miaka ya 2000 iliyopita.

Nje ya Hobie's hakuna ukweli wowote wa habari za Yesu.

Na taratibu zitaondoka tu kama ambavyo habari za jua kuzunguka dunia zilivyoondoka.

Kama unadhani Yesu alikuwepo kweli na ndiye msingi wa uanzishwaji wa BC na AD weka datà hapa,mbona unambwela?.

2.Hakuna mahala niliposema nakataa uwepo wa Mungu kisa haonekani.

Rudia kusoma mahala hapo,maana nashangaa pamoja na kukesha unasoma comment ile ila hujaielewa.

3.Sijasema dunia inaweza kuwa na chanzo kingine,nimesema "hata kama".

Unaelewa maana ya neno hata kama?.

Na kama kitu hakiwezi kutokea chenyewe, niambie Mungu wako àlitoka wapi!

Sitaki mahubiri ya hakuanza wala hatakwisha ambayo hayathibitishiki.

Hata mimi naweza sema dunia haikuanza na wala haitakwisha bila uthibitisho, kama usemavyo wewe na nikawa sawa tu.

Maana haiwezekani less complex kama dunia useme lazima iwe na chanzo halafu most complex (muumbaji wa hiyo dunia) awe hana chanzo.

Ni mjinga pekee anayeweza kubali huu upuuzi.

4.Ni kweli akili za Mungu hazichunguziki,

Ni kwa sababu hayupo!.

Wewe unaweza ukachunguza akili za kitu kisichokuwepo?.Si utakuwa chizi!

5.Kabla ya kuniuliza habari za Yesu, unaweza ukaweka ushahidi kuwa alikuwepo kweli na siyo hadithi za kutungwa tu?

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
...naona unazunguka mulu mule tu ngoja kwananza nikupe data za kuonesha yesu alitembea hapa duniani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom