Atheists tulionekana wa ajabu sana!

Mwana Ukoo

JF-Expert Member
Nov 21, 2016
252
422
Wakuu salama, Kwanza kabisa nianze kwa kusema Elimu pekee ndio itakayomkomboa Mwanadamu katika sayari hii, Uwezo wa kutatua changamoto upo ndani yake mwenyewe, Hakuna Msaada wowote utakaotokea anga za juu kuja kusaidia hapa Dunia Hivyo Binadamu ni Mungu tosha kabisa ni Maarifa na yanazidi kupanuka na kukiweka Huru kiumbe Hichi.

Miaka kadhaa nyuma Baadhi ya sisi atheists humu tulionekana watu wa ajabu kwa imani Yetu kuwa Hakuna Mungu, Mkuu Kiranga ana thread moja imefikisha almost 3K Comments za Believers wakimshambuliwa kwa matusi nae akiwajibu kwa hoja.

Taswira ya JamiiForums sasa iko tofauti kabisa Watu kiukweli wametoka kwenye vifungo na kwa sasa wengi ni Free thinker ata kama Anaamini katika Mungu ila yuko tayari kusikiliza sera za wasio amini na kuchambua kidogo.

Tuliwahi ongea apa kwamba Mungu huyu tunaemsoma makanisani au Misikitini Hawezi kuwepo hata kwa bahati mbaya mana sifa tunazomjaza hayuko nazo hata punje. Nakaribisha mijadala zaidi.

Cc Free ideas Doyi Kiranga nusuhela @Areta ludovick Kifyatu
 
Hahahaaa!!,
Wanadamu hupotea katika njia panda za fikra Zao.

Nmefurahishwa na jinsi unavyojieleza na kutaja wafuasi wa Mrengo wako. Kitu pekee ninachoweza kukwambia ni kuwa kila Swali litajibiwa. Ikiwa utataka majibu.

Ukiujua ukweli utakuweka huru, Nao ukweli ni nini basi?

Ukweli ni kumjua asiyekuwepo kwa mambo yaliyopo. Kumtafuta kwa bidii zote kwa akili aliyokupa. Ukweli hauji kwa kumpinga Asiyekuwepo katika njia panda ya Fikra za nyama.

Basi Nakusihi,, angalia sana katika siku zako, siku za mapito zako. usije ukajipoteza kwa yaliyopo machoni pako nawe ukakosa yasiyokuwepo katika macho yako na Akili yako ambayo katika hayo ndio asili ya roho yako.
 
mmmmhhhh
sipo kwaajiri ya kubishana au changanya hili na lile ninavyoweza kusema kuna iman nyingi duniani hapa na kila MTU anaamin anapo amin kwamfano watu wengi mashuri kama MZEE mzima Albert Einstein na wengineo wengi walikuwa ni watu wasio amin uwepo wa MUNGU ngoja nikwambie mleta huu Uzi AMIN UNACHO AMIN.
 
Wakuu salama, Kwanza kabisa nianze kwa kusema Elimu pekee ndio itakayomkomboa Mwanadamu katika sayari hii, Uwezo wa kutatua changamoto upo ndani yake mwenyewe, Hakuna Msaada wowote utakaotokea anga za juu kuja kusaidia hapa Dunia Hivyo Binadamu ni Mungu tosha kabisa ni Maarifa na yanazidi kupanuka na kukiweka Huru kiumbe Hichi, Miaka kadhaa nyuma Baadhi ya sisi atheists humu tulionekana watu wa ajabu kwa imani Yetu kuwa Hakuna Mungu, Mkuu Kiranga ana thread moja imefikisha almost 3K Comments za Believers wakimshambuliwa kwa matusi nae akiwajibu kwa hoja.

Taswira ya Jf sasa iko tofauti kabisa Watu kiukweli wametoka kwenye vifungo na kwa sasa wengi ni Free thinker ata kama Anaamini katika Mungu ila yuko tayari kusikiliza sera za wasio amini na kuchambua kidogo.

Tuliwahi ongea apa kwamba Mungu huyu tunaemsoma makanisani au Misikitini Hawezi kuwepo hata kwa bahati mbaya mana sifa tunazomjaza hayuko nazo hata punje .NakaribiSha mijadal zaidi.

Cc Free ideas Doyi Kiranga nusuhela @Areta ludovick Kifyatu
Huu ni ujinga uliyo kubuhu taka kichwani..................... Elimu gani unayomaanisha?
Utaalamu gani unafikiria..!!
FYI, hao waliokuwa na utajiri na rasilamali na awanaoongoza katika maendeleo ni watu hata darasa la saba hawakuhitimu!!
Naomba ufungue macho yako na utazame watu waliyekuzunguka wapojee..!!
au nikupe mifano chanya....?
 
Mimi hata grup langu la chuo wananiona wa ajabu hasa pale ninapo wapinga live kuhusu huyo mungu.
Lkn kwasasa naona kuna baadhi wamebadilika na kuwa open mind.

Mwanzon unaonekana km jiti lililokosa adabu, lihuni lkn kadri unavyowatemea facts wakaanza kunielewaa.

Sasa tunaheshimiana na wengi kwasasa hawajishughulishi na mambo ya imani km zaman
 
Wakuu salama, Kwanza kabisa nianze kwa kusema Elimu pekee ndio itakayomkomboa Mwanadamu katika sayari hii, Uwezo wa kutatua changamoto upo ndani yake mwenyewe, Hakuna Msaada wowote utakaotokea anga za juu kuja kusaidia hapa Dunia Hivyo Binadamu ni Mungu tosha kabisa ni Maarifa na yanazidi kupanuka na kukiweka Huru kiumbe Hichi, Miaka kadhaa nyuma Baadhi ya sisi atheists humu tulionekana watu wa ajabu kwa imani Yetu kuwa Hakuna Mungu, Mkuu Kiranga ana thread moja imefikisha almost 3K Comments za Believers wakimshambuliwa kwa matusi nae akiwajibu kwa hoja.

Taswira ya Jf sasa iko tofauti kabisa Watu kiukweli wametoka kwenye vifungo na kwa sasa wengi ni Free thinker ata kama Anaamini katika Mungu ila yuko tayari kusikiliza sera za wasio amini na kuchambua kidogo.

Tuliwahi ongea apa kwamba Mungu huyu tunaemsoma makanisani au Misikitini Hawezi kuwepo hata kwa bahati mbaya mana sifa tunazomjaza hayuko nazo hata punje .NakaribiSha mijadal zaidi.

Cc Free ideas Doyi Kiranga nusuhela @Areta ludovick Kifyatu
Unajua watanzania ni watu ambao tunatawaliwa kifikra na ulimwengu wa nchi zilizoendelea.

Hapo Awali Tanzania kulikuwa almost hakuna mashoga wala Lesbians lakini hivi sasa baada ya uzungu kutuingia mashoga na Lesbians wamekuwa wa kumwaga. Wasanii wetu walikuwa wanaimba nyimbo za kijamii na zenye kuhusiana na maisha yetu. Hivi sasa wasanii wanaimba nyimbo za kimagharibi na cultural traditional music is slowly fading away and replaced by what Westerners introduce into our heads. Hapo awali Vijana tulikuwa tukivaa nguo zetu vizuri na tukiongea kiswahili kilicho nyooka lakini hivi sasa vijana wanavaa suruali zinaanzia chini ya matako chupi nje na wakiongea wanabana sauti na kuslengisha kiswahili. Sasa hii naona munatuletea Ethisms na kujifanya nyinyi ndiyo mumesoma sana Science. Wacheni kutawaliwa kifikra na kuiga mambo ya wazungu.

Labda ni kuulize ni kinachokufanya usiamini Mungu?
 
Unajua watanzania ni watu ambao tunatawaliwa kifikra na ulimwengu wa nchi zilizoendelea.

Hapo Awali Tanzania kulikuwa almost hakuna mashoga wala Lesbians lakini hivi sasa baada ya uzungu kutuingia mashoga na Lesbians wamekuwa wa kumwaga. Wasanii wetu walikuwa wanaimba nyimbo za kijamii na zenye kuhusiana na maisha yetu. Hivi sasa wasanii wanaimba nyimbo za kimagharibi na cultural traditional music is slowly fading away and replaced by what Westerners introduce into our heads. Hapo awali Vijana tulikuwa tukivaa nguo zetu vizuri na tukiongea kiswahili kilicho nyooka lakini hivi sasa vijana wanavaa suruali zinaanzia chini ya matako chupi nje na wakiongea wanabana sauti na kuslengisha kiswahili.

Umesahau hii hapo kabla tulikuwa tunaabudu kwenye miti na mapango, wakaja wamisionari na waarabu. Siku hizi makanisa na misikiti ya kumwaga na kuna wafuasi kindakindaki kuliko walioleta dini hizo. Sio cultural traditional tu hata cultural beliefs zimekuwa faded na hizi zilizokuja na meli.
 
Hivi kwanini wengi wanaoamini uwepo wa Mungu wanaishia kutishia tu? Mara utasikia we amini tu! Then what?..Ukifuatilia sana dini unaweza kuwa chizi and from my observation hakuna dini ilio sahihi hata moja Duniani kwa sababu kama kungekua na dini sahihi basi wote tungekua na dini moja lakini kutokana na wengi kuendelea kumezeshana vitu ambavyo havipo ndo tunapata watu ambao hawawezi wakatupa empirical evidences za kwanini wao wapo kama walivyo.
Tusijazane Uoga
 
Unajua watanzania ni watu ambao tunatawaliwa kifikra na ulimwengu wa nchi zilizoendelea.

Hapo Awali Tanzania kulikuwa almost hakuna mashoga wala Lesbians lakini hivi sasa baada ya uzungu kutuingia mashoga na Lesbians wamekuwa wa kumwaga. Wasanii wetu walikuwa wanaimba nyimbo za kijamii na zenye kuhusiana na maisha yetu. Hivi sasa wasanii wanaimba nyimbo za kimagharibi na cultural traditional music is slowly fading away and replaced by what Westerners introduce into our heads. Hapo awali Vijana tulikuwa tukivaa nguo zetu vizuri na tukiongea kiswahili kilicho nyooka lakini hivi sasa vijana wanavaa suruali zinaanzia chini ya matako chupi nje na wakiongea wanabana sauti na kuslengisha kiswahili. Sasa hii naona munatuletea Ethisms na kujifanya nyinyi ndiyo mumesoma sana Science. Wacheni kutawaliwa kifikra na kuiga mambo ya wazungu.

Labda ni kuulize ni kinachokufanya usiamini Mungu?
Prostitute culture . ....
 
Hivi kwanini wengi wanaoamini uwepo wa Mungu wanaishia kutishia tu? Mara utasikia we amini tu! Then what?..Ukifuatilia sana dini unaweza kuwa chizi and from my observation hakuna dini ilio sahihi hata moja Duniani kwa sababu kama kungekua na dini sahihi basi wote tungekua na dini moja lakini kutokana na wengi kuendelea kumezeshana vitu ambavyo havipo ndo tunapata watu ambao hawawezi wakatupa empirical evidences za kwanini wao wapo kama walivyo.
Tusijazane Uoga
What goes around comes around . ..Nature will prevail at the end
 
Unajua watanzania ni watu ambao tunatawaliwa kifikra na ulimwengu wa nchi zilizoendelea.

Hapo Awali Tanzania kulikuwa almost hakuna mashoga wala Lesbians lakini hivi sasa baada ya uzungu kutuingia mashoga na Lesbians wamekuwa wa kumwaga. Wasanii wetu walikuwa wanaimba nyimbo za kijamii na zenye kuhusiana na maisha yetu. Hivi sasa wasanii wanaimba nyimbo za kimagharibi na cultural traditional music is slowly fading away and replaced by what Westerners introduce into our heads. Hapo awali Vijana tulikuwa tukivaa nguo zetu vizuri na tukiongea kiswahili kilicho nyooka lakini hivi sasa vijana wanavaa suruali zinaanzia chini ya matako chupi nje na wakiongea wanabana sauti na kuslengisha kiswahili. Sasa hii naona munatuletea Ethisms na kujifanya nyinyi ndiyo mumesoma sana Science. Wacheni kutawaliwa kifikra na kuiga mambo ya wazungu.

Labda ni kuulize ni kinachokufanya usiamini Mungu?
Hapo awali ni ipi hiyo.... which year?? Tulikuwa tunavaa vizuri mwaka gani? Unajua kwamba hakuna kilichoanza kama tulivyo... binadamu ametaka time kuweza kujitambua na kuadapt kidogo kidogo kutokana na mazingira yake....sisi ni kizazi cha mbali sana. Vizazi vingi sana vilivyopita havikuwa kama sisi... kwenye uvaaji, kuabudu n.k....
 
There is only one point which I real don't understand and I will not understand.... ukimkuta mkristo utamuona anatetea Dini yake umuelezi kitu na huyu amemezeshwa kutambua kwamba bible iko sahihi na si quran, ukienda upande wa pili nao utamkuta muislamu umuelezi kitu kuhusu dini yake, na yeye amemezeshwa the same way as christians hamuelezi kitu kuhusu quran na yeye atakuambia wale makafiri wanaenda motoni.... embu jiulize. How did christian choose bible over quran if the quran is the truth and why muslims choose quran instead of bible if bible is the truth.... when I think of this I always come with a conclusion that neither muslims not christians know the truth... but they have inherited what they believe from their parents. The bad thing ni kwamba dini inafundishwa ukiwa na umri mdogo mpaka ukija kuwa matured ni ngumu sana kuhoji ni ngumu sana kuelewa kwamba ulidanganywa.... u will always think ulichoambiwa ni sahihi na kitaendelea kuwa sahihi. U can not prove something happened long time ago just by reading scriptures.... how can u prove illogical arguments??? How can u prove God will use fire to punish us... and why i have to go to hell because i never pray, go to church or mosque, kama siwezi kusibitishiwa kuwepo kwa moto... why should everyone believe the existence of hell or paradise. ( je malengo ya kuishi duniani ni kuwaza imaginary things, kwamba usipoamini imaginary things unakufuru, how???) aje mtu akulazimishe uamini kwamba kuna maisha kwenye galaxies nyingine usipoamini umepotea....
 

Similar Discussions

34 Reactions
Reply
Back
Top Bottom