einstein newton
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 1,969
- 2,672
Siku hizi una hekima mkuu...Mtu anaamini Mungu ni mjuzi wa kila kitu ila et kuna watu Mungu hajui hatima zao kwa sababu hao watu hawajajikabizi kwake hivyo Mungu hajui hatima zao,sasa hapo utasemaje Mungu anajua kila kitu!