mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,647
- 37,192
sasa hii ina uhusiano gani na kuonana na Mungu??ukiwa hapa duniani?Allaha katika Quran ametwambia ivi:
4:124. "Na anaye fanya mema, akiwa mwanamume au mwanamke, naye ni Muumini - basi hao wataingia Peponi wala hawatadhulumiwa hata kadiri ya tundu ya kokwa ya tende."