Mr.creative
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 492
- 117
Wana jf karibuni kwenye mjadala huu!
na walevi wa kike je?Anza huo mjadala wa pombe! Navyojua mimi walevi wengi wakiume hawana nguvu za kiume
na walevi wa kike je?
<br />Wanapenda sana kufanya ngono halafu wanasingizia pombe!
<br />Tunaingia kwenye mjadala,asilimia 99.9 ya jamii nzima,athari ya ulevi wa pombe tuna zijua. Wapo wanao wa walala mama zao,watoto zao na hata wengine kuwa kero kwa familia zao.