mwathu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 403
- 210
Habari zenu wana Jamii forum,
Kwa kipindi kirefu sasa tumekuwa tukifuatilia tamthilia mbalimbali toka nje ya Tanzania yetu kupitia vituo mbalimbali vya Television. Hebu jaribu kukumbuka Lamuja de Lavida, Lamuja de Lorenzo, Long wait, Promise nakadhalika lakini unadhani nini mchango na athari za tamthilia za kigeni katika maisha ya kimapenzi ya vijana wetu maana kwa upande wangu naona zimetufanya tumekuwa fake, wasaliti na players zaidi kuliko ilivyokuwa hapo kabla. Nomba mawazo yenu wadau.
Kwa kipindi kirefu sasa tumekuwa tukifuatilia tamthilia mbalimbali toka nje ya Tanzania yetu kupitia vituo mbalimbali vya Television. Hebu jaribu kukumbuka Lamuja de Lavida, Lamuja de Lorenzo, Long wait, Promise nakadhalika lakini unadhani nini mchango na athari za tamthilia za kigeni katika maisha ya kimapenzi ya vijana wetu maana kwa upande wangu naona zimetufanya tumekuwa fake, wasaliti na players zaidi kuliko ilivyokuwa hapo kabla. Nomba mawazo yenu wadau.