Athari za sasa na za baadae za viongozi wa BAKWATA kuchochea uhasama dhidi ya CHADEMA...

Umeandika sana kaka lakini chadema wamedhihirisha na kujinasibu kuwa ni chama kristo...hata ukiangalia nyadhifa za viongozi wake mf. kina mchungaj,maeneo ambayo chadema inakubalika na hata michango ya wana jf hapa..angalia matukio wakati wa uchaguz mkuu 2010,matamko mbalimbali ya viongoz wa makanisa yalidhihirisha hilo.waislam wanalalamika wana mashiko.ni vyema chadema warekebishe dosari hii.si nzuri.watabisha but ukweli unaonekana.niko tayari kukosolewa.

Hivi waliotoa msimamo wa waislamu kule Igunga walikuwa mashehe au mashehena?
 
Umeandika sana kaka lakini chadema wamedhihirisha na kujinasibu kuwa ni chama kristo...hata ukiangalia nyadhifa za viongozi wake mf. kina mchungaj,maeneo ambayo chadema inakubalika na hata michango ya wana jf hapa..angalia matukio wakati wa uchaguz mkuu 2010,matamko mbalimbali ya viongoz wa makanisa yalidhihirisha hilo.waislam wanalalamika wana mashiko.ni vyema chadema warekebishe dosari hii.si nzuri.watabisha but ukweli unaonekana.niko tayari kukosolewa.

Kaka umesahau maaskofu na maparoko walivyosema kikwete ni chaguo la mungu hakuna muislam wala bakwata aliyesema kuna udini mbona mnasahau mapema hata miaka 10 bado
 
Yale yale ya chadema..unaanza na accusation halafu unataka kumaliza tatizo..inabidi stakeholders wote wajitazame wao ni source kwa kiwango gani?

Accusations kwa maana ipi? Wahusika wote wa mgogoro huu lazima wafahamu kuna mahali wanafanya makosa ama kwa kujua au kwa kutokujua...
 
Umeandika sana kaka lakini chadema wamedhihirisha na kujinasibu kuwa ni chama kristo...hata ukiangalia nyadhifa za viongozi wake mf. kina mchungaj,maeneo ambayo chadema inakubalika na hata michango ya wana jf hapa..angalia matukio wakati wa uchaguz mkuu 2010,matamko mbalimbali ya viongoz wa makanisa yalidhihirisha hilo.waislam wanalalamika wana mashiko.ni vyema chadema warekebishe dosari hii.si nzuri.watabisha but ukweli unaonekana.niko tayari kukosolewa.

Naamini watu wa CHADEMA watakuwa katika nafasi nzuri zaidi ya ku-comment hapo, lakini langu ni kuwa wawe au wasiwe chama cha kikristo, haihalalishi kujengwa kwa chuki za kidini nchini, na haizuii kufanywa kwa juhudi za kuondoa udini nchini. Ni jukumu langu mimi na wewe, kwa hata kama sio mimi au wewe tutakaoathirika, wanaweza kuwa ndugu, jamaa au fariki zetu...
 
Naamini watu wa CHADEMA watakuwa katika nafasi nzuri zaidi ya ku-comment hapo, lakini langu ni kuwa wawe au wasiwe chama cha kikristo, haihalalishi kujengwa kwa chuki za kidini nchini, na haizuii kufanywa kwa juhudi za kuondoa udini nchini. Ni jukumu langu mimi na wewe, kwa hata kama sio mimi au wewe tutakaoathirika, wanaweza kuwa ndugu, jamaa au fariki zetu...

Wahusika walitakiwa kuomba msamaha kwa kudhalilisha alama za dini za wengine kwa chuki hawakufanya (kiburi na dharau)

Tatizo la ubaguzi la udini halitaiisha mpaka tuwe wa kweli kwamba lipo...na ndio tuanze kutafuta solution

Kwa sasa hakuna anayekubali kwamba lipo (wanazuga)...ngoja lipasuke ndio kawaida yetu kutafuta dawa baada ya maradhi
 
Hivi viongozi wa kikristo ni wapi walisema au walichochea udini na ni nani huyu coz sijawahi kuona kama tulivyoona hata juzi tu Igunga, hebu twambieni ni nani huyu kwani naona hapa tunaendesha visa vya kitoto waislam hamuwezi pata haki zenu kwa kukipigia kampen ccm ila chama kinachotetea haki na maslahi ya wanyonge na Taifa na hii ndo iwe misingi ambayo tunatakiwa kupigania ila siasa za kusema fulani kusema hivi na mimi nasema hivi huu ni utoto hebu tubadilike. Nawasilisha nipo tayari kurekebishwa

Ingekuwa athari za kukipigia kampeni CCM zitaishia CCM kubaki madarakani, au waislamu kupata au kukosa haki zao, au CHADEMA kukosa madaraka, kwangu isingekuwa shida sana. Kuna suala la chuki ambalo linaathiri elimu, ajira, afya na mengi yasiyo siasa. Tuangalie mbali zaidi ya siasa...
 
Mdini namba moja na mchochezi wa jambo hilo ambaye naamini ndiye aliyewalisha viongozi wa BAKWATA sumu ni mkuu wa nchi pale alipotoa kauli tata wakati wa kampeni mwaka jana. Naamini alifanya hivyo kupata kura bila ya kujali madhara yake. Kiongozi wa nchi anapotoa matamko ya kisiasa bila kuyapima na chama chake kuyabeba kana kwamba ndiyo ukweli pasi uthibitisho na kueleza mkakati au hatua anazoweza kuchukua kwa wanaoeneza udini huo ili tu kujipatia kura za kundi fulani la jamii...naona huyo ndiye hatari zaidi ya yale yanayozungumzwa na BaKWATA. Namchukia kiongozi yeyote anayetumia munipulation ili kutimiza ajenda yae bia kujali madhara yake kwa jamii nzima na JK ameonyesha njia na chama chake na wengine wanafuata kwa sababu za either upendeleo au rushwa fulani wanazopewa na wenye hoka

Binafsi siamini sana katika hili. Najua naye ni mdau katika suala la chuki za kidini kama mkuu wa dola, hivyo ana jukumu la kufanya kuhakikisha Tanzania aliyoikuta watu wanaaminiana, ataiacha watu wakiaminiana, kama jukumu lake, kwa faida yake na vizazi vya sasa na baadae...
 
Ni kweli kabisa viongozi wa kikristo kama vile maaskofu walitoa matamko kipindi cha uchaguzi 2010, lakini watu walipaswa kujua yale matamko yalikuwa yanasisitiza kitu gani, sio vema kuanza kuangalia aliyetoa tamko ni nani bali tuangalie tamko lilihusu nini? matamko yale yalihusu mwongozo wa kuwapata viongozi bora sio vinginevyo! bahati mbaya watu wengi hawakuelewa kilichoongolewa na sasa wote (waislamu na wakristo) tunaona matokeo ya kuwa na viongozi wabovu! tunapaswa kuwa makini kwenye mambo ya msingi!

kaka watasemaje kuhusu Maaskofu walivyo sema M...K...W...E...R...E ni chaguo la Mungu... Kwa hyo at that tym CCM kilikuwa cha kikristu
 
Aliyetufikisha hapa tulipo nadhani anajulikana.Najua hata yeye nafsi yake huwa inamsuta anapokuwa amekaa peke yake na kufikiria mstakabali wa taifa hili ndio maana alipofanikisha lengo lake la kujipatia nafasi aliyokuwa akiitafta alisema ni wakati wa wandishi wa habari kutibu majeraha ya uchaguzi,udini ukiwa ni jeraha kubwa.Nawaomba ndg zetu waislam watambue kuwa bakwata inatumika kisiasa na ni chombo cha ccm kufanikisha mambo yake na kuwaacha solemba.Watawachonganisha na vyama vya siasa na siku ccm itakaposhindwa kwa ngazi za juu na chama kingine kutawala,hamtakuwa na amani kwa sababu mtajua ndio wakati wa adui yenu kutekeleza yale ambayo mlikuwa mnahisi atayatenda dhidi yenu

BAKWATA kutumika kisiasa na kuwa chombo cha CCM inaweza isiwe tatizo kwa waisalamu wala wakristo, kama haitakuwa na madhara ya kijamii. Mimi nichachojua ni kuwa wanachofanya viongozi wa BAKWATA kina athari kuwa kwetu kama taifa, sasa na zaidi baadae, iwe wanafanya kwa nia zao wenyewe ama kwa kutumiwa... Viongozi wa BAKWATA wanapaswa wasiodhibiti kunguni wa kitandani kwa kuchoma moto nyumba...
 
Wahusika walitakiwa kuomba msamaha kwa kudhalilisha alama za dini za wengine kwa chuki hawakufanya (kiburi na dharau)

Tatizo la ubaguzi la udini halitaiisha mpaka tuwe wa kweli kwamba lipo...na ndio tuanze kutafuta solution

Kwa sasa hakuna anayekubali kwamba lipo (wanazuga)...ngoja lipasuke ndio kawaida yetu kutafuta dawa baada ya maradhi

Naomba nikuulize swali; Hivi namna nzuri waislamu kutafuta solution pale wanapohisi hawajatendewa haki ni kwa kuchochea zaidi chuki? Mathalani tatizo la Igunga, unadhani ilikuwa sahihi viongozi wa waislamu kuwalaani CHADEMA hadharani wakati wangeweza kuwasiliana nao kitaasisi, bila kuhusisha hadhira ya wananchi na waumini? Hiyo ndiyo ndiyo busara ya uongozi?

Na ukisema ngoja lipasuke ndo tutafute dawa, unadhani likipasuka atakayeumia ni nani?
 
kaka watasemaje kuhusu Maaskofu walivyo sema M...K...W...E...R...E ni chaguo la Mungu... Kwa hyo at that tym CCM kilikuwa cha kikristu

Maoni yangu ni kuwa japo hawajaonyesha kuwa upande fulani, kwa kutoa matamko ya kisiasa hadharani na kimaandishi, viongozi wa kikristo hawana namna ya kujitoa katika wahusika wa chuki za kidini zilizopo nchini kwa sasa...
 
Naomba nikuulize swali; Hivi namna nzuri waislamu kutafuta solution pale wanapohisi hawajatendewa haki ni kwa kuchochea zaidi chuki? Mathalani tatizo la Igunga, unadhani ilikuwa sahihi viongozi wa waislamu kuwalaani CHADEMA hadharani wakati wangeweza kuwasiliana nao kitaasisi, bila kuhusisha hadhira ya wananchi na waumini? Hiyo ndiyo ndiyo busara ya uongozi?

Na ukisema ngoja lipasuke ndo tutafute dawa, unadhani likipasuka atakayeumia ni nani?

Ungewashauri chadema ambao hawashauriki kwa hilo..maana mawasiliano yalifanyika mzee wenu mkaidi (slaa) hata simu hapokei licha ya kutojibu sms..

Waislamu hawachochei chuki (hizo ndi accusations nilisema mwanzo umeshindwa ku-avodi kwasababu najua uko upande gani?)

Wanaochochea fujo ni wale wanaoleta siasa za ubaguzi na chuki nawe unawajua vema..chadema

call the spade spade..
 
Naona unafanya jitihada kubwa kuuimarisha udini! Wewe unawezaje kusoma mioyo ya watu kama sio uongo ni nini? Tena unaongea kwa ujasiri na kuusimamia uongi wako, ila ni kwa nini unajihisi? Kwanini unahisi watu watakataa unachokisema, kwanini unawahi kujitetea? Bila shaka wew ni muislamu mwenzangu kwa sababu sisi hatujaanza leo kulalamika! Haya yote unayosema wenzangu wamekuwa wakiyalalamikia tangu zamani ila ukiangalia kwa makin unaona tatizo ni kwamba sisi tunashindwa kwenda na kasi ya wenzetu, ndo maana tunabaki kulalamika tu wakat wenzetu wanafanya mambo ya msingi wala hawana time na sisi! Suala la udini mimi siliamini kabisa ila ni kelele za mfamaji.....!

Kwa maoni yako unadhani hata kama malalamiko ya waislamu yanahatarisha amani na maelewano, tukae kimya na kuyaangalia tu kwa sababu "hayatuhusu"? Kuna umuhimu gani sasa wa Mungu kumuumbia binadamu busara?
 
Kwa maoni yako unadhani hata kama malalamiko ya waislamu yanahatarisha amani na maelewano, tukae kimya na kuyaangalia tu kwa sababu "hayatuhusu"? Kuna umuhimu gani sasa wa Mungu kumuumbia binadamu busara?
Dawa ya matatizo ni kuya-solve.

Ikishawa ya solve amani itatawala.
 
Back
Top Bottom