Bazazi
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 2,806
- 3,476
Kuna haja kwa serikali na wananchi kwa ujumla kuhakikisha kuwa shule zetu zinakuwa na ubora ili kukwepa kuwapeleka watoto wetu nje ya nchi kusoma.
Hebu angalia hii picha katika kalenda ya TACAIDS inayodai kuwa PIUS MSEKWA aliwahi kuwa waziri mkuu.
Kazi QeliQeli.
Bazazi ni Bazazi!
Hebu angalia hii picha katika kalenda ya TACAIDS inayodai kuwa PIUS MSEKWA aliwahi kuwa waziri mkuu.
Kazi QeliQeli.
Bazazi ni Bazazi!