NDANGA
Member
- May 19, 2014
- 53
- 27
Wadau wa Ufugaji kuku
Bado jinamizi la Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi kutaka kuruhusu kuagiza nyama ya kuku toka Brazil na Marekani lipo , nashauri kila mmoja wetu atumie wabunge anaowafahamu kulizuia japo kuwa tayari wameshasoma bajeti ya Wizara ya Mifugo.
Athari za kuingiza Kuku kutoka nje ni kama ifuatavyo,
1. Wafugaji wataacha ufugaji Kama ilivyotokea Zanzibar. Kuna ajira Zitapotea Hapo.
2. Wazalishaji Chakula cha mifugo watasimama uzalishaji . Kuna ajira Zitapotea
3. Wakulima wa Mahindi Na virutubisho vyote vinavyotumika katika kutengeneza Vyakula Watakosa soko.( Ingawa Hakuna Takwimu Sahihi Asilimia zaidi ya hamsini ya mahindi yanatumika katika mifugo)
4. Watotoleshaji vifaranga Watakosa soko La vifaranga. Hatchery zitafungwa na ajira kupotea.
5. Wenye Mikopo wote Katika sekta hii watashindwa kulipa hivyo kuzikwamisha Benki.
6. Wabeba mizigo watakosa kazi yao ya kushusha na kupakia mizigo.
7. Mama Lishe wote wanaotegemea washusha mizigo kama wateja kipato chao kitapungua.
8. WABEBA MIZIGO WENGINE WATATUMIA NGUVU ZAO KUKABA NA KUIBA.
9. Na serikali itakosa kodi.
Bado jinamizi la Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi kutaka kuruhusu kuagiza nyama ya kuku toka Brazil na Marekani lipo , nashauri kila mmoja wetu atumie wabunge anaowafahamu kulizuia japo kuwa tayari wameshasoma bajeti ya Wizara ya Mifugo.
Athari za kuingiza Kuku kutoka nje ni kama ifuatavyo,
1. Wafugaji wataacha ufugaji Kama ilivyotokea Zanzibar. Kuna ajira Zitapotea Hapo.
2. Wazalishaji Chakula cha mifugo watasimama uzalishaji . Kuna ajira Zitapotea
3. Wakulima wa Mahindi Na virutubisho vyote vinavyotumika katika kutengeneza Vyakula Watakosa soko.( Ingawa Hakuna Takwimu Sahihi Asilimia zaidi ya hamsini ya mahindi yanatumika katika mifugo)
4. Watotoleshaji vifaranga Watakosa soko La vifaranga. Hatchery zitafungwa na ajira kupotea.
5. Wenye Mikopo wote Katika sekta hii watashindwa kulipa hivyo kuzikwamisha Benki.
6. Wabeba mizigo watakosa kazi yao ya kushusha na kupakia mizigo.
7. Mama Lishe wote wanaotegemea washusha mizigo kama wateja kipato chao kitapungua.
8. WABEBA MIZIGO WENGINE WATATUMIA NGUVU ZAO KUKABA NA KUIBA.
9. Na serikali itakosa kodi.