Kutokana na machafuko yaliyotokea Arusha athari za kiuchumi zimeanza kujitokeza, katika habari zinatonya kwamba baadhi ya wageni wameanza kukatisha safari zao. Katika zunguka yangu leo asubuhi hoteli nyingi zimekutwa mabegi ya wageni yako nje ya hoteli wakijiandaa kuondoka. Jana jioni moja ya bomu lilitua katika hoteli ya SG iliyoko maeneo ya sakina wakati wageni wanaingia, bomu hilo liliunguza upande wa gari wageni wakishuhudia.
Kumbuka pia jana kuna mkutano wa East Africa ulikuwa unaendelea katika hotel ya Naura spring.
Wanasiasa wetu wanataka kutawala nchi lakini hawana uwezo wa kutathmini athari za maamuzi yao. Sasa tumeanza kuona cha moto. Watanzania tulichagua watu amabao ni mediocre kutuongoza, viongozi tulio nao hawawezi kufikiri strategically as a result wanakurupuka wanafanya maamuzi ya kijinga nchi inaathirika.
Nimeanza kukubaliana na mbunge wa kigoma David Kafulila siku moja bungeni alisema kwamba viongozi wengi tulio nao hawawezi kufikiria nje ya wao na familia zao.
Nawakilisha
Kumbuka pia jana kuna mkutano wa East Africa ulikuwa unaendelea katika hotel ya Naura spring.
Wanasiasa wetu wanataka kutawala nchi lakini hawana uwezo wa kutathmini athari za maamuzi yao. Sasa tumeanza kuona cha moto. Watanzania tulichagua watu amabao ni mediocre kutuongoza, viongozi tulio nao hawawezi kufikiri strategically as a result wanakurupuka wanafanya maamuzi ya kijinga nchi inaathirika.
Nimeanza kukubaliana na mbunge wa kigoma David Kafulila siku moja bungeni alisema kwamba viongozi wengi tulio nao hawawezi kufikiria nje ya wao na familia zao.
Nawakilisha