Duh sasa mbona NIDA hawapo seriuos kabisa...yaani mtu anafwatilia kitambulisha mwaka mzimaZipo kwanza mapato kwa serikal lazma yashuke maana kila sik n watu wangapi wanaunga vocha,kutoa na kuweka pesa .
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni hasara kubwa sana....hapo bado hujaingiza hesabu za interruption ya shughuli za uzalishaji katika jamiiMpaka sasa laini Milioni 21 na zaidi bado.
Tuchukulie wastani laini moja inatumia gharama ya Shilingi 10 kwa siku, hapo jumla ni zaidi ya Milion 210 . Sasa weka kodi 18% kwenye hiyo Milioni 210 maana ake ni zaidi ya milion 37 zitapotea kwa siku.
Ikumbukwe nimepigia kiwango kidogo sana cha matumizi ya laini moja kwa siku yaan shilingi kumi.
Ndo unaeza pata jibu kuwa mpango wakufungia laini upo ila bado sana
piga below 18 kurud nyuma kuna wana wanafunzi kibao apo wanasimu achilia wasio wanafunzi na ambao ni above wenye vigezo vya NIDA na hawana izo nambaZipo kwanza mapato kwa serikal lazma yashuke maana kila sik n watu wangapi wanaunga vocha,kutoa na kuweka pesa .
Sent using Jamii Forums mobile app
Ule msemo wa wataisoma namba naanza kuuelewaBila shaka hali ya pesa mtaani itazidi kuwa mbaya zaidi