Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Kama chadema ingekuwa inaongozwa na watu smart hili swala Madini yetu lingeweza kuwanufaisha sana lkn wapi, sasa Nchi nzima inawaona ni watetea Muzungu, wameshindwa hata kulitumia swala kama hili kama mtaji wao wa Kisiasa, so sad, really sad angesema Trump!