road master
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 2,064
- 3,011
Unategemea mataga wawe serious!?? Wana dhiki mpaka kwenye sehemu za haja kubwa ila wanajikaza kisabuniWatanzania tujifunze kuwa serious kwenye vitu serious, tuwe na mipaka ya kufanya masihara