smaki
JF-Expert Member
- Jan 23, 2019
- 4,977
- 3,066
Ni kweli Bongo movie haijanitoa lkn siyo sababu ya mimi au wewe kuichukia!! tena huenda mie ndo ningeichukia kuliko weye!....pia jua kuwa sina sababu ya kutoka kimaisha kwa kuwa Baba yangu alishamaliza yooote kulicho bakia ni mie kula Bata tu!! bata na mimi!...nihangaikie nini?Kwahili povu itakua ushajaribu bongo movies ila mpaka leo unaelekea uzeeni haijakutoa.
#MaendeleoHayanaChama