mkiluvya
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 802
- 725
Shirika la Ndege Tanzania AirTanzania limerejesha rasmi safari zake kuelekea nchini Comorro kuanzia leo Septemba 8 kutokea jijini Dar es Salaam.
Safari hizo kuelekea visiwani humo zitakuwa mara mbili kwa wiki, Jumanne na Jumapili.
Safari hizo kuelekea visiwani humo zitakuwa mara mbili kwa wiki, Jumanne na Jumapili.