Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,562
- 217,879
Hii nchi ni ya kishamba sana !Hii ni pamoja na kwenda na keki toka Tanzania.
"Kutokana na ukweli kwamba hakukuwa na mawasiliano mazuri, ilikuwa ni sahihi kwa maafisa uhamiaji wa Afrika Kusini kufanya vile, hatuwalaumu kwa sababu tunajua ni kwa sababu za kiusalama" - Ladislaus Matindi, AirTanzania akifafanua kuhusu ruti ya Afrika Kusini.