Umeangalia sehem gan?
Wanabodi nimeangalia kwenye booking option ya ATCL nimeona hakuna uwanja wa Mbeya na bada ya kuliza nikaambia labda atcl inapunguza safari kutokana na kuwa na upungu wa ndege.je hii ni kweli?
Zipo boss...ATC 131. DAR-GEITA(CHATO)-MWANZA-DARChatto nako vipi? Safari zao zingalipo?
Acha kutumia kompyuta za Kichina, nimeangalia sasa hivi Mbeya ipoWanabodi nimeangalia kwenye booking option ya ATCL nimeona hakuna uwanja wa Mbeya na bada ya kuliza nikaambia labda atcl inapunguza safari kutokana na kuwa na upungu wa ndege.je hii ni kweli?
Zipo boss...ATC 131. DAR-GEITA(CHATO)-MWANZA-DAR
Zipo mkuu na hivi karibuni wameongeza safari toka mbili kwa wiki hadi tatu kwa wiki kutokana na kuongezeka kwa abiria.Chatto nako vipi? Safari zao zingalipo?
Mleta mada chukua muongozo huo hapo...
Zipo boss...ATC 131. DAR-GEITA(CHATO)-MWANZA-DAR
Wacha uwongo, Mbeya haijawahi kuwa na airport. Unataka ndege kubwa kama bombadier itue Mwanjelwa? Uwanja wa ndege upo Songwe, mkoa jirani na Mbeya.Wanabodi nimeangalia kwenye booking option ya ATCL nimeona hakuna uwanja wa Mbeya na bada ya kuliza nikaambia labda atcl inapunguza safari kutokana na kuwa na upungu wa ndege.je hii ni kweli?