M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,020
Hapa chini ni bookings za ATCL & Precision zilizofanywa na vijana fulani wanaotarajia kusafiri miezi kadhaa ijayo.
Tarehe, destinations na madaraja - vyote vinafanana kwa bookings zote mbili.
Tumekuwa tukiaminishwa kuwa ATCL, pamoja na malengo mengine, ipo kwa ajili ya kuwahudumia Watanzania wenye kipato cha chini wenye uhitaji wa kutumia huduma ya usafiri wa anga. Sasa inakuwaje nauli inayotozwa na public airline iwe ya juu kuliko ile ya private airline? ATCL tunakwama wapi enyi wanyonge wenzangu?
Tarehe, destinations na madaraja - vyote vinafanana kwa bookings zote mbili.
Tumekuwa tukiaminishwa kuwa ATCL, pamoja na malengo mengine, ipo kwa ajili ya kuwahudumia Watanzania wenye kipato cha chini wenye uhitaji wa kutumia huduma ya usafiri wa anga. Sasa inakuwaje nauli inayotozwa na public airline iwe ya juu kuliko ile ya private airline? ATCL tunakwama wapi enyi wanyonge wenzangu?