Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
Ni wakati sasa kujiuliza kampuni zzetu za atcl,uda na trk zimechangia ngapi jamani kwenye kale
kamfuko chetu cha jairo foundation??bado naamini kale kamchezo cha jairo kako kila
wizara na hata majuzi walipokomaa kuna dalili za baadhi ya watu kugaiwa fungu kutoka
jairo foundation...binafsi najiuliza haya mashirika yetu yamechangia ngapi
mh zittio kabwe msisubiri barua this time jamani embu komaeni
kamfuko chetu cha jairo foundation??bado naamini kale kamchezo cha jairo kako kila
wizara na hata majuzi walipokomaa kuna dalili za baadhi ya watu kugaiwa fungu kutoka
jairo foundation...binafsi najiuliza haya mashirika yetu yamechangia ngapi
mh zittio kabwe msisubiri barua this time jamani embu komaeni