MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,482
- 20,426
Uongozi wa shirika letu pendwa siku ya leo wataongea na waandishi wa habari kuhusu yale yanayoendelea mitandaoni kuhusu hujuma zinazofanywa na baadhi ya watumishi kuruhusu uuzwaji wa ticket moja mara mbili.
Ni mashirika machache sana yanayoweza kutolea ufafanuzi mambo mazito yanayaanzia mitandaoni,kweli hii ni ATCL mpya
--------------
Ni mashirika machache sana yanayoweza kutolea ufafanuzi mambo mazito yanayaanzia mitandaoni,kweli hii ni ATCL mpya
--------------