CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,786
- 15,726
Mkuu Paskali.. Uhuru wa watendaji leo umeanza kuonekana. Maana CAG amemuomba kabisa RAIS achukue hatari haraka.ATC hasara bilioni 60!.
Taarifa ya CAG.
Kuna vitu kuna watu tulisema humu, tukanyooshewa vidole vya kukosa uzalendo!. Sasa ukweli umethibitika!.
60 billions kwa mwaka!, it's not a joke!
Duh...!.
Wito kwa Bunge letu tukufu: Mkithibisha hii Nepotism ya ajabu na zile Boeing ni TT, then hatufai!.
Wanabodi, JF ilipoanzishwa was meant to be the home of Great Thinkers. Hivyo katika mabandiko ya ma GT, they discuss the ideas hawajadili watu, hili ni bandiko kuhusu ideas, hivyo naomba sana kusisitiza hapa hatujadili watu na wala tusitajetaje majina yoyote ya watu. Hakuna jina la mtu yoyote...www.jamiiforums.com
P