Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 7,811
- 10,819
Mungu anatupigania sana.Daaah yaani sa hv ningekuwa na nyumba yangu nzuri kabisa maeneo ya mbweni , mweshimiwa Alibana ajira ili anunue ndege ...daaah yote mema Tu lakn
Mungu anatupigania sana.Daaah yaani sa hv ningekuwa na nyumba yangu nzuri kabisa maeneo ya mbweni , mweshimiwa Alibana ajira ili anunue ndege ...daaah yote mema Tu lakn
Kwa hiyo mlitaka Tz tusiwe na ndege hata moja. Kununua kitu kingine kuendesha mradi kitu kingine ebu tutofautishe.Maendeleo ya vitu yaendane na maendeleo ya watu. Nani atafidia hii hasara?
View attachment 1736531
View attachment 1736513
Hivi akili yako iko vizuri kabisa ww? Tangu hizo ndege zinunuliwe Magufuli si alikuwa anasema zinaleta faida? Imekuaje leo zikaleta hasara? Uliwahi kumsikia Magufuli akisema Mkaguzi kakuta hasara katika hiyo miaka 5?Kuna uzushi mkubwa uliletwa na Zitto kuwa kasma ya Atcl imehamishiwa ikulu ili watu waibe pesa sababu pesa za ikulu hazikaguliwi. Jambo ambalo lilikuwa sio kweli na wafuasi wa Chadema walikomaa sana juu ya ishu. Leo wameumbuka.
View attachment 1736519
Acha kupotosha hiyo ni kwa mwaka mmoja pekeeMkuu Loss ya 60 ni ndani ya miaka mitano na Loss kubwa imepatikana miaka hii miwili ya Corana but hao kenya Airways wamepata Loss ya B 30 ndani ya mwaka mmoja tu. ATCL ilikuwa inapunguza Loss kila mwaka na baadae ingeweza kuleta faida.Afu watu wajue kuwa JPM Hakutarget kwenye bishara,Alileta hizi ndege kwa lengo la kuboresha huduma ya usafir.
Watamuuzia nani mindege yenyewe safari mbili inaenda garage
Sasa Kama yanatia hasara si wayauze tu wanabaki tu kutuita sisi eti wanyonge wananikera
Mimi hapa nimejaa unataka niiimbe pambio gani nipe key ya kuimbia.Wazee wa kusifu na kuabudu wanasemaje siwaoni humu,
Hasara iliyipatikana kwa mmoja tu inatosha kujenga hospitali za wilaya 120 kwa gharama ya milioni 500 kila moja!Maendeleo ya vitu yaendane na maendeleo ya watu. Nani atafidia hii hasara?
View attachment 1736531
View attachment 1736513
AIseee...
Yaani wewe umefurahi kuwa wamepata jibu KULIKO HUKO KUPATA HASARA...
Kuwa wamejibiwa hakuharibu huduma za kijamii, lakini kuwa inaendeshwa kwa hasara, maana yake kuna hela ingepataikana ya kuendeleza huduma za kijamaa lakini imepotelea hapo...
Lile la awamu iliyopita.Mimi hapa nimejaa unataka niiimbe pambio gani nipe key ya kuimbia.
Maendeleo ya vitu yaendane na maendeleo ya watu. Nani atafidia hii hasara?
View attachment 1736531
View attachment 1736513
60,000,000,000Hebu iandike kwanza kwa tarakimu
Ndege zina faida sana nani kama marehemu ametuachia madege 😹nawasubiri team kusifu na kuabudu waje kupinga report.
Priorities ilikuwa ni issue sana enzi ile.Daaah yaani sa hv ningekuwa na nyumba yangu nzuri kabisa maeneo ya mbweni , mweshimiwa Alibana ajira ili anunue ndege ...daaah yote mema Tu lakn
Asante kwa jicho Pevu,hata mimi nimeliona hilo ndio mana nimesema hebu tuulize na Faida ni kiasi gani,tusiishie kwenye Hasara peke ake maana hata kama kuna hasara naamini pia kuna faida je hiyo faida ni kiasi gani?watu hawaelewi kitu kimoja, kwamba kukaguliwa kwa ATCL ni njia mojawapo ya kuiandaa hadhara ya Tanzania ili shirika liki binafsishwa kwa mabeberu na wenye fedha kuwepo na jibu kwamba shirika halileti faida... tunaelekea kule kule tulipo toka, deal na madeal ya upigaji kwa kisingizio cha hasara kama Rwanda air inavyotaka kufanya sasa na Qatar airways...
Hizi mambo za ubinafsishaji ni kupiga deal tu maana hatukuweza tulipo shirikiana na Soutyh Africa airways . Amekeni Watanzania, CAG na ndugu zake ni matayarisho tu ya ubinafsishaji wa ATCL ujao. Ni maoni yangu...
Side effects za kusikia kile unachopenda kusikia tuu.Kweli mambo yanaenda kasi sana.
Miaka 5 iliyopita nani alikuwa anawasilisha ripoti, Kichele au Prof Assad?
mtakatifu tena!