YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,909
- 51,904
Toka bunge hili lianze mbunge ninayeona katoa hoja nzito ni Zungu Kaeleza vizuri sana kuhusu ATCL NA NAMNA YA KUIFANYA IWE NA FAIDA KUBWA
Kasema kabla ya Magufuli Mishahara yote ya wafanyakazi wa ATCL KWA ASILIMIA 100 ilikuwa ikilipwa na serikali sasa hivi serikali inalipa asilimia 17 tu kiasi kilichobaki wanalipa wenyewe
Kashauri serikali kuondoa vitu kama landing fee ,navigation fee na parking fee nk
Msikilize kuanzia dakika ya 4
Kasema kabla ya Magufuli Mishahara yote ya wafanyakazi wa ATCL KWA ASILIMIA 100 ilikuwa ikilipwa na serikali sasa hivi serikali inalipa asilimia 17 tu kiasi kilichobaki wanalipa wenyewe
Kashauri serikali kuondoa vitu kama landing fee ,navigation fee na parking fee nk
Msikilize kuanzia dakika ya 4