Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
- Thread starter
- #21
Umekuja na mkwara utafikiri ni mada inayoumiza kichwa....eti Great Thinkers tu ndio wachangie :lol: :lol:
Mkubwa hunishangazi kwani "KUBEZA" wabezaji kama wewe wako katika utajo wa headin' hivyo haunirushi handas kwani mi ni miongoni mwa waaminio msemo wa "kila masika na Mbu wake"