betty marandu
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 1,154
- 713
Mkuu hawavwatu wanatukumbusha ule usemi mzuri wahenga walituambia "mbaazi ikikosa maua husingizia jua".Kwani hao wamarekani wamewaibia T1.5 zetu .Mnyonyaji ni mtu mweusi mwenyewe.
Leo hii ukinunua umeme, unakatwa hela. Huo aio unyonyaji???
Hebu ona ma vat yalivyo kila kona. Huo sio unyonyaji?
Ni zipi faida za hizo rasilimali kama kila kitu mtanzania wa hali ya chini analipia na kodi ipo juu?????
Acheni kutuhadaaa. Adui wa mwafrika ni mwafrika mwenyewe