Distant Relatives
JF-Expert Member
- Nov 21, 2020
- 415
- 729
Akili za kimaskini hizi shida sana. Saudi inakupa msaada wa tende, masahafu halafu unawapelekea mamilioni ya fedha kwenye utalii wa kidini (hijja). By the way, saudia sio nchi takatifu, ila inaeneo linaloaminiwa kuwa 'takatifu'.
Vipi lakini watakatifu wamemchinja na kumtengeneza slice kashoggi! Vipi washaacha kufadhili ugaidi!?
Vipi lakini watakatifu wamemchinja na kumtengeneza slice kashoggi! Vipi washaacha kufadhili ugaidi!?