Nimekupata mkuuKitochi ni ngumu kudukuliwa Mkuu....kudua mawasiliano ya sauti ni rahisi...nahisi iPhone wanaongelea kudukua taarifa za kimawasiliano kama vile kuweka virus na kudukua email...lkn maongezi unadukua tu.
Wanachokifanya iPhone siyo kutoa zawadi bali wanatafuta jinsi ya kuziboresha zaidi simu zao, so hiyo njia ni sehemu mojawapo kuona mdukuaji ameweza vipi na kutumia njia gani kuzifikia nywila na data za mwenye simu ya iPhone.
😂😂😂😂IT wa Bongo unawaonea Wao wanaweza piga windows chini Tu.
na kwenye hili ni mabingwa achaIT wa Bongo unawaonea Wao wanaweza piga windows chini Tu.
Tengua kauli sio kila mtu ana matako wengine wanamakalio tuWatu wanafananisha fani ya IT na matako ambayo kila mtu anayoMtu akienda veta kasomea kupiga blower sijui ku develop website au kufungua printer na kubadili catridge anajiita mtaalamu wa IT...IT ni kipaji tena binafsi(individual talent) kama mcheza mpira tu..Ila huko Bongo kuna machalii wana degree zao za Computer Science wanakimbiza mnoo sema ndio hivyo akipiga hatua sana umkute yupo Bank..anapambana na ma core banking system (cbs) na nyingi huwa ziko na support ya vendor 24/7...inakua ngumu sana kujifunza vitu vipya zaidi ya kuwa banker na kujua accounts
Kwani mazungumzo ya kina Makamba yalirekodiwa baada ya simu zao kuingiliwa? Inaonekana yale mazungumzo yalirekodiwa yakiwa njiani. Hata uwe na simu kiasi nzuri gani lakini mawasiliano yako ni lazima yapitie kwenye mitambo ya kampuni ya mawasiliano.Ina maana kwenye I phone kilicho wakuta makamba Familly na Membe hakiwezi kukukuta mtu unaye tumia I phone .naombeni ufafanuzi wakuu
Ni kweli na wakigundua umedukua wanakuajiri kabisa kwa pesa ndefu.Wanachokifanya iPhone siyo kutoa zawadi bali wanatafuta jinsi ya kuziboresha zaidi simu zao, so hiyo njia ni sehemu mojawapo kuona mdukuaji ameweza vipi na kutumia njia gani kuzifikia nywila na data za mwenye simu ya iPhone.
Acha stori za kahawa. Uyo mtu hakuwa mtz. Alikuwa ni mmarekani na walikuwa wameshampa worning mara nying.Hiyo lazima kuna dogo alikwa kariakoo pale alifanikiwa kuingilia iphone yao japi si kwa kiwanngo cha juu walikuja wakamtraki kama mtuhumiwa walimdaka wakamchukua wakafunga nae mkataba,dogo anakula maisha US mpaka leo
Kinawezekana sana. Huku bongo jamaa wanaenda kwa network carrier wanassikilza maongez ykoIna maana kwenye I phone kilicho wakuta makamba Familly na Membe hakiwezi kukukuta mtu unaye tumia I phone .naombeni ufafanuzi wakuu
kweli mkuu watoe advance kwanza!afu ukitaka kufanya kazi unawafata au mm nidukue tu huku afu niwambie nishamaliza kazi hahhahahahaaHawatoi advance?
Sauti inasikilizwa kama kawaida! Na jumbe fupi!Hizo simu za iPhone zinafaa hapa Tanzania
Inawezekana vizuri tu..sababu wale simu zao hazijadukuliwa bali ni tcra wanaratibu mazungumzo ya simu zote ndo walikozivujisha sauti/mazungumzo yao. TCRA wenyewe hawadukui simu bali ukipiga simu inakuwa recorded kwenye servers zaoIna maana kwenye I phone kilicho wakuta makamba Familly na Membe hakiwezi kukukuta mtu unaye tumia I phone .naombeni ufafanuzi wakuu
Wasipolipa on time tunahack server zao tunawauzia utel siri zaokweli mkuu watoe advance kwanza!afu ukitaka kufanya kazi unawafata au mm nidukue tu huku afu niwambie nishamaliza kazi hahhahahahaa