Atakayefanikiwa kudukua (hacking) simu za iPhone kulipwa Tsh. Bilioni 2

Wazee...wa next, skip na save
Watu wanafananisha fani ya IT na matako ambayo kila mtu anayoMtu akienda veta kasomea kupiga blower sijui ku develop website au kufungua printer na kubadili catridge anajiita mtaalamu wa IT...IT ni kipaji tena binafsi(individual talent) kama mcheza mpira tu..Ila huko Bongo kuna machalii wana degree zao za Computer Science wanakimbiza mnoo sema ndio hivyo akipiga hatua sana umkute yupo Bank..anapambana na ma core banking system (cbs) na nyingi huwa ziko na support ya vendor 24/7...inakua ngumu sana kujifunza vitu vipya zaidi ya kuwa banker na kujua accounts
 
Watu wanafananisha fani ya IT na matako ambayo kila mtu anayoMtu akienda veta kasomea kupiga blower sijui ku develop website au kufungua printer na kubadili catridge anajiita mtaalamu wa IT...IT ni kipaji tena binafsi(individual talent) kama mcheza mpira tu..Ila huko Bongo kuna machalii wana degree zao za Computer Science wanakimbiza mnoo sema ndio hivyo akipiga hatua sana umkute yupo Bank..anapambana na ma core banking system (cbs) na nyingi huwa ziko na support ya vendor 24/7...inakua ngumu sana kujifunza vitu vipya zaidi ya kuwa banker na kujua accounts
umenena mkuu..Hakika ndivyo ilivyo
 
bei yake wanaiweza wangapi mkuu? sisi acha tutumie iphone zakutoka CHINA ila sio hizo za mmarekani
[/QUOTkuna tofauti gani kati ya hizo za china na za marekani ninavyojua mimi iphone ni kampuni ya marekani lakini simu zake zinatengenezwa china kama ilivyo kwa bidhaa za jordan ni za mmarekani lakini zinatengenezwa china..!
 
Wale wazee wa kile chama tangu uhuru badala ya kutumia iPhone wao wametumia kitochi. Ndo mana kumbe wamedukuliwa kipindi kile wanamteta mkulu.
Kitochi ni ngumu kudukuliwa Mkuu....kudua mawasiliano ya sauti ni rahisi...nahisi iPhone wanaongelea kudukua taarifa za kimawasiliano kama vile kuweka virus na kudukua email...lkn maongezi unadukua tu.
 
Back
Top Bottom