Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo lazima kuna dogo alikwa kariakoo pale alifanikiwa kuingilia iphone yao japi si kwa kiwanngo cha juu walikuja wakamtraki kama mtuhumiwa walimdaka wakamchukua wakafunga nae mkataba,dogo anakula maisha US mpaka leokivyovyote vile atakae weza mbali na huo mkwanja basi lazima wamchukue maana atakua anawafaaa
kawaida mkuu siku moja moja sio mbayaMkuu unarudi taratibu kwenye nafasi yako
IT wa Bongo unawaonea Wao wanaweza piga windows chini Tu.
Wale wazee wa kile chama tangu uhuru badala ya kutumia iPhone wao wametumia kitochi. Ndo mana kumbe wamedukuliwa kipindi kile wanamteta mkulu.Haya Haya humu ndani kuna ma IT konki master sasa mchongo ndo huu hapaaa Wale wakujiita hackers ebu fanyeni mambo msije sema mlikua bize hamkusikia tangazo la ndugu zetu IPHONE.
Apple, wametangaza kuwa watatoa zawadi ya Dola milioni $1 sawa na Tsh Bilioni 2.3 kwa mtu yeyote atakayeweza kudukua simu za iPhone au kompyuta za Mac.
chanzo:
View attachment 1179287Apple Hands Hackers Secret iPhones In A Bid To Boost Security, Sources Say
Apple is planning some big security announcements in Las Vegas this week, Forbes has learned. They include a macOS bug bounty and so-called "dev devices" for iPhone researchers.www.forbes.com
Wazee...wa next, skip na saveIT wa Bongo unawaonea Wao wanaweza piga windows chini Tu.
hakiwezi na kama utaweza APPLE wamesema watakupa 2 BILLION..fanya kujaribu mkuu na usinisahau ktk ufalme wako wa udukuaji.Ina maana kwenye I phone kilicho wakuta makamba Familly na Membe hakiwezi kukukuta mtu unaye tumia I phone .naombeni ufafanuzi wakuu
unaifanya ipho e iwe imenyoa kiduku!Kudukua manake nini?
wako tayar kukilipa mkuu acha story fanya mambo uvute mzigo.“If you live like you are in the ‘past’, the ‘future’ will never find you”! apple wasijidanganye kwamba hawana udhaifu
IT wa Bongo unawaonea Wao wanaweza piga windows chini Tu.
Hahaha acha ujingaIT wa Bongo unawaonea Wao wanaweza piga windows chini Tu.
soon tu masela wanabeba hiyo pesaHaya Haya humu ndani kuna ma IT konki master sasa mchongo ndo huu hapaaa Wale wakujiita hackers ebu fanyeni mambo msije sema mlikua bize hamkusikia tangazo la ndugu zetu IPHONE.
Apple, wametangaza kuwa watatoa zawadi ya Dola milioni $1 sawa na Tsh Bilioni 2.3 kwa mtu yeyote atakayeweza kudukua simu za iPhone au kompyuta za Mac.
chanzo:
View attachment 1179287Apple Hands Hackers Secret iPhones In A Bid To Boost Security, Sources Say
Apple is planning some big security announcements in Las Vegas this week, Forbes has learned. They include a macOS bug bounty and so-called "dev devices" for iPhone researchers.www.forbes.com