KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 864
1.Tukio la Mulipuko Bomu Mkutano wa Chadema lina mtaji wa 100m
2.Tukio la Mulipuko Bomu Kanisa la Katoliki Arusha halina Mtaji!!
3.Tukio la Kumuua padri Mushi halina mtaji
4.Tukio la kumupiga risasi Padri Ambrosi halina mtaji
5.Tukio la kuchoma makanisa nchini halina mtaji
6.Tukio la kumchinja Mchungaji Geita halina mtaji
7.Tukio la Kumwagia tindikali Mashehe Zanzibar halina mtaji
8.Aliyemteka Kibanda halina mtaji
9.Tukio la aliyemteka Ulimboka halina mtaji
.
.
.
..
.
.
.Unaweza kuendeleza hapo na baadaye uka ishia na double standard
NB:
Angalia jinsi polisi walivyotumia nguvu zote kumukamata muuaji wa kamanda Barlow
2.Tukio la Mulipuko Bomu Kanisa la Katoliki Arusha halina Mtaji!!
3.Tukio la Kumuua padri Mushi halina mtaji
4.Tukio la kumupiga risasi Padri Ambrosi halina mtaji
5.Tukio la kuchoma makanisa nchini halina mtaji
6.Tukio la kumchinja Mchungaji Geita halina mtaji
7.Tukio la Kumwagia tindikali Mashehe Zanzibar halina mtaji
8.Aliyemteka Kibanda halina mtaji
9.Tukio la aliyemteka Ulimboka halina mtaji
.
.
.
..
.
.
.Unaweza kuendeleza hapo na baadaye uka ishia na double standard
NB:
Angalia jinsi polisi walivyotumia nguvu zote kumukamata muuaji wa kamanda Barlow