Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
mpa huyo hiyo hela si kesha weza?
sijawachoka ndio mashindano yalivyo kufa na kuponakama umetuchoka tuambie
tanesco wenyewe awaelewek wanakata na kuzima zima unaweza kujikuta umechomekwa apo juuhii ni rahisi sana.. Tanesco wakishatangaza hakutakuwa na umeme mtaani kwetu kwa siku nzima... Mbona eassy tu
uyo ni mimi uwez ujua,nataka na nyie mpande kwa anayeweza dau ndio ilo million 5 cashna ni mwanaJF namjua......
Watu wanafanya kazi kwenye 220kV ikiwa live ambapo waya mmoja tu ukikugusa hata vumbi lako halitaonekana na wanatoka wazima, sembuse hiyo 400V!?
Kama umetuchoka tuambie
uyo ni mimi uwez ujua,nataka na nyie mpande kwa anayeweza dau ndio ilo million 5 cash