Atakaenisaidia hili nitampa Tsh Milioni moja taslimu

Status
Not open for further replies.

folk

R I P
Oct 21, 2013
57
345
Ndugu zangu,

Mimi ni kijana wa pekee na wa mwisho katika familia yetu yenye jumla ya watoto sita. Ni familia ya kimaskini ila watoto tunafanya kila linalowezekana kuhakikisha tunapunguza ukali wa maisha hapa nyumbani kwa kufanya kazi bila kuchoka usiku na mchana ila changamoto kubwa imekuwa husuda na kijicho kwa majirani zetu ambao wanahaha kushika shati familia hii kwa ushirikina lakini mbali na hayo yote (we never give up united we stand and moves foward regardless our acceleration toward our goals).

Binafsi mimi ndio muhanga na muathirika mkubwa kwa hili gumu kwani kwa zaidi ya miaka 19 hadi sasa ndugu zangu sijawahi kuwa na furaha maishani mwangu, (trust me its all about misery, sickness, lack of affection, unlucky) na mambo mengi mabaya kwa binadamu.

(There comes a times it feels like the world is upon my shoulder can't take this shiit no more) nimejaribu kuwa mwema, muungwana na mnyenyekevu kwao bila mafanikio sitaki kuchuma dhambi tena kwa mateso niliyopata katika dunia hii imetosha Mungu ni mwema atanipumzisha milele kiumbe wake (ain't fear death because its inevitable am ghood to go for it for their happiness and fantasy).

Nilikuwa na (plan) ya kutafuta (anyone with the solution) kwa maana ya (traditional healer) au yeyote mwenye productive ideas aweze nisaidia NITOE AWARDS ya tshs milioni moja but naona kama (its a waste of time) watu nao wamekuwa matapeli tu (nowdays).

Yaani (we living in crazy time folks) nimetibiwa na wataaalamu wa tiba asilia, hospitali za rufaa na kuombewa na wachungaji lakini hooa hell no! Mungu ananitaka mwanae si bure na (he is the master of the people so far so am good} to go though ukioniona( live) huwezi hata kuhisi kama mimi ni mgonjwa huwezi.

Nimetoa dukuduku langu nahisi kama (relief) fulani nimepata.

Kila la kheri wandugu.
 
Ndugu zangu,

mimi ni kijana wa pekee na wa mwisho katika familia yetu yenye jumla ya watoto sita. Ni familia ya kimaskini ila watoto tunafanya kila linalowezekana kuhakikisha tunapunguza ukali wa maisha hapa nyumbani kwa kufanya kazi bila kuchoka usiku na mchana ila changamoto kubwa imekuwa husuda na kijicho kwa majirani zetu ambao wanahaha kushika shati familia hii kwa ushirikina lakini mbali na hayo yote we never give u
p united we stand and moves foward regardless our acceleration toward our goals.

binafsi mimi ndio muhanga na muahthirika mkubwa kwa hili gumu kwani kwa zaidi ya miaka 19 hadi sasa ndugu zangu sijawahi kuwa na furaha maishani mwangu....trust me its all about misery, sickness, lack of affection, unlucky na mambo mengi mabaya kwa binadamu..there comes a times it feels like the world is upon my shoulder..can't take this shiit no more nimejaribu kuwa mwema, muungwana na mnyenyekevu kwao bila mafanikio sitaki kuchuma dlhambi tena kwa mateso niliyopata katika dunia hii imetosha mungu ni mwema atanipumzisha milele kiumbe wake ain't fear death!! because its inevitable am ghood to go for it for their happiness and fantasy..

nilikuwa na plan ya kutafuta anyone with the solution kwa maaana ya traditional healer au yeyote mwenye productive ideas aweze nisaidia NITOE AWARDS ya tshs milioni moja but naona kama its a waste of time watu nao wamekuwa matapeli tu nowdays..yaani we living in craaaazy time folks!!! nimetibiwa na wataaalamu wa tiba asilia, hospitali za rufaa na kuombewa na wachungaji lakini hoola!!! hell no!! mungu ananitaka mwanae si bure...na he is the master of the people so far so am good to go.....though ukioniona live huwezi hata kuhisi kama mimi ni mgonjwa!! huwezi!

nimetoa dukuduku langu nahisi kama relief flani nimepata...!

kila la kheri wandugu.....

Nenda Kwamsisi
 
Unasema unaumwa lakini husemi ni unaumwa kitu gani mkuu! Sasa utasaidiwa vp?

Kaka mi kifua kinabana sana nashindwa hata kufikiri kwa kina, nasahau hovyo hovyo, kichwa kinauma, mwili wote unawaka moto, ndoto za ajabu ajabu, mkosi na hakuna anaenipenda kwa sasa isipokuwa mama yangu mzazi tu...naambatana na mikosi ya ajabu!! N.k

Yaani hali tia maji tia maji kaka sokwe!!
 
Wewe hao Majirani wanao kuroga unachotakiwa utibiwe kwanza kisha ufanyiwe dua za kinga kisha wajaribu tena hao wana kuroga mwisho wao utawaonea huruma. Si umesema umekwenda Hospitali mpaka kuombewa na wachungaji hujapona? Wasiliana na Mimi MziziMkavu hauchimbwi Dawa Pole sana.
Ili uweze kumuagua mtu aliyelogwa ni lazima na wewe uwe mshirikina. Kwa hiyo wewe uko upande gani MziziMkavu
 
Last edited by a moderator:
Unasema unaumwa lakini husemi ni unaumwa kitu gani mkuu! Sasa utasaidiwa vp? Na umesha hukumu kwamba unalogwa! Who told you that? Sangoma? Hebu eleza dalili za maradhi yako na umeshafanya vipimo gani mpaka sasa ili usaidiwe ushauri mkuu.

Nimefanya medical examination Bugando medical center kaka sokwe kwa takribani miaka minne mfululizo bila mafanikio, pia ishu ni ya miaka zaidi ya 19 inasumbua. Sifichi kitu kaka mi kama kwa sangoma nimekwenda na nadhani idadi yao ni kubwa ila haimaanishi kwamba simpi mungu thanx and praises zake ila naamini mungu anatungua watu wake hata kwa magome ya miti ya sangoma maana yeye ndie alieweka miti hii hapa duniani.

Mbali na hayo naweza kuhisi kitu kisicho cha kawaida mwilini kwangu na kutafuta jawabu lake...I mean I can't feel it from what is going on through and within my body and make a soundable conclusion. Tunakubali au tunakataa kaka hii ni taaluma ya waswahili.

Kind regards.
 
Kaka mi kifua kinabana sana nashindwa hata kufikiri kwa kina, nasahau hovyo hovyo, kichwa kinauma, mwili wote unawaka moto, ndoto za ajabu ajabu, mkosi na hakuna anaenipenda kwa sasa isipokuwa mama yangu mzazi tu...naambatana na mikosi ya ajabu!! N.k

Yaani hali tia maji tia maji kaka sokwe!!

wewe ni ke au mee
 
Mdogo wangu mungu akubariki sana! Wala hujarogwa Kama unavyofikiria wewe unasumbuliwa na sick house syndrome! You're allergic to mold, ni tatizo Hilo Hilo lilinifanya Mimi kuwa mgonjwa kwa miaka 2 nikakata tamaa ya maisha aliyenifungulia njia alikuwa mmarekani mwanajeshi mgeni ambaye alikuwa amehamishiwa kikazi hapa Japan aliniomba nimsaidie kumtembeza hapa Tokyo japokuwa Hali yangu haikuwa nzuri kiafya nilikubali bahati mbaya ktk kumtembeza niliishiwa nguvu na kuanguka! Alinisaidia kwenda hospital lakini nilishakwenda hospital zote kubwa hapa Japan na hakuna walichokiona, huyu kijana mdogo wa kizungu aliponiambia inawezekana unasumbuliwa na mold! Sikuwahi kusikia habari za mold ila nilivyokuja fanya research nikakuta Nina dalili nyingi sana, bahati mbaya madaktari wanaotibu Hilo tatizo sio wengi ila linatibika nilikwenda kutibiwa marekani Washington na nimepona kabisaaaa! Nitakupa dalili chache za mold unaweza ukawa nazo zote a upungufu au zaidi, headache, insomnia, anxiety, depressed, fatigue, night sweating, low sexual drive, low cortisol, anemia. Low white blood cell, irregular heart beat, confusion, poor concentration, blurred vision, lack of energy, bad dreams,poor digestion, cold hands and feet, feeling thirsty all the time, burning sensation, ears ringing e.t.c. Nina uhakika ndio tatizo lako, mold ni aina ya fungus ambao wana produce secondary metabolic inaitwa mycotoxins, kadili inavyozidi kukaa kwenye mazingira ya mazalio yake ndivyo inavyozidi kukufanya mgonjwa Kama una uwezo wa kwenda kutibiwa marekani nitakupatia namba ya simu na jina la huyo daktari, ila kwa sasa jambo la kwanza kufanya ni kuhama hapo unapoishi.
 
Umewahi kuishi nje ya Tanzania? Jaribu kubadili mazingira aisee, sometimes ni psychological problems ndio zinakusumbua. Pia mcheki Mzizi mkavu anaeza kukupa ushauri[/

Kaka hilo nalo laweza kuwa na ukweli ndani yake ila nasita kukubali moja kwa moja kwamba suala hili liko kwenye traumatic experiences and psychological aspects hapana sidhani kaka...I can feel something stranger within my body...enhee!!
 
Last edited by a moderator:
Unahitaji body detoxification na antifungal therapy lakini ni lazima daktari ajue ni aina gani mold umekuwa exposed to na mycotoxins kwenye mwili wako pamoja na nutrition supplements.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom