Kafrican
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 7,212
- 6,972
This guy was the real economists, wachana na hawa pretenders wa sikuhizi
Kuna wakati flani pale EAC ilipovunjika na tukafungiana mipaka, Kuna majirani flani wakati huo walikua wakidai Kenya inafaidi sana kwa kuuza bidhaa zake nyingi kwa nchi jirani.... Ikawa inasemekana tukifungiwa mipaka basi uchumi wa Kenya utaanguka.... Mipaka ilifungwa na Kenya ililazimika kutafuta masoko mengine kuuza bidhaa zake na mwishowe Uchumi wa Kenya ukaendelea vilevile.......
Kuna wakati flani pale EAC ilipovunjika na tukafungiana mipaka, Kuna majirani flani wakati huo walikua wakidai Kenya inafaidi sana kwa kuuza bidhaa zake nyingi kwa nchi jirani.... Ikawa inasemekana tukifungiwa mipaka basi uchumi wa Kenya utaanguka.... Mipaka ilifungwa na Kenya ililazimika kutafuta masoko mengine kuuza bidhaa zake na mwishowe Uchumi wa Kenya ukaendelea vilevile.......