BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
mmmmh hapa sitii neno
Duh, kwahiyo kazi yao ni kuongea na nyie kusikiliza?
Kaaazi kweli kweli.
...unless bado mpo kwenye mapenzi machanga,...women rarely asks questions otherwise, anataka kukutuhumu kwa jambo fulani.
I've failed to understand women aisee...
...yaani huo ndio ukweli wenyewe, there's no way around unless mwanaume unajitafutia kununiwa.
Na je mnaenjoy kuwa wasikilizaji au hua mnatamani angalau mara moja moja na nyie muwe mnapewa nafasi ya kusikilizwa?
...yaani huo ndio ukweli wenyewe, there's no way around unless mwanaume unajitafutia kununiwa.
Hahaha. . . .Lakini kuna mahali mkiwa mwanamme ni msumbufu kuliko mwanamke.
Mikono huwa haitulii 'The Wandering Hand Theory' haijalishi mwenzie ana usingizi ama lah!
Pole kaka...it's hard. Ndio zile amenuna unamuuliza "...una nini leo?!" anakujibu "hata mimi sijielewi!..Hakuna Kitu!"
thanks sweetheart...
nina bosi ana kisirani, but she likes flirting
nina associate ana misifa but she is always anticipating
nina mke mwema but she expects more everyday
nina jirani anajali wanangu, but she sometimes cross the border
nina friend anajali, but she is so protective
umewahi kusikia
if you are doing the same thing and getting the same result
maybe you should do the opposite?
...lol, anaku challenge kila siku uje kivingine, ila ukijidai mvumbuzi sana unabandikwa jibu bila swali (huku mdomo umebinuliwa) "....mnh, zamani haukuwa hivi!"
...hahaha, manual sio? ....niliambiwa the best approach, jitahidi kumsikiliza bila kumkatisha
akishaanza kuongea ...muhimu niwe tayari na vibwagizo kama; ..enhee?...kweli?...alaaaa...! acha wewe? duuuhh!
hapo mtaelewana, lakini kujitia mjuzi wa ku offer suluhisho, sijui oohh mtazamo wangu...ni kuchochea mifarakano.
kwenye kesi hii, kamanda MTM, wewe ongeza smiles huku ukitingisha kichwa, au sikitika kama yeye...so long akikuangalia anakuona unajali (hata kama hujaelewa lolote)....you are on safe side!
no wonder women loves film actors.....lol
they can act like they are 'perfect guys'....
You guys made me laugh....aiseee...lol...unless bado mpo kwenye mapenzi machanga,...women rarely asks questions otherwise, anataka kukutuhumu kwa jambo fulani.
I've failed to understand women aisee...
They are both solute mkuu. Love is the solvent. Emotion ndio solvent, actors ni solute. (maoni yangu)
Na je mnaenjoy kuwa wasikilizaji au hua mnatamani angalau mara moja moja na nyie muwe mnapewa nafasi ya kusikilizwa?
...lol, thubutu yake!!!....mwanamke husikilizia kwa makini ukiweweseka usingizini...anasubiria atajwe Lizzy ukurupushwe na kofi la uso!
Hahaha. . . .
Kama wenyewe wanachoshwa masikio acha nao wachoshe miili ya wanawake.
...lol, thubutu yake!!!....mwanamke husikilizia kwa makini ukiweweseka usingizini...anasubiria atajwe Lizzy ukurupushwe na kofi la uso!
Hahahaha. . . . hayavunji bana, siunakandwa kandwa kidogo baada ya kazi. . . !!maneno hayavunji mfupa, hayo ya kwao yanavunja mgongo.
Kwanza wanamme wanatakiwa kuwaomba msamaha wanawake kila siku hata kama hawajakosea.
...lol, thubutu yake!!!....mwanamke husikilizia kwa makini ukiweweseka usingizini...anasubiria atajwe Lizzy ukurupushwe na kofi la uso!
:lol::lol::lol:Hahahahaha. . . .
Na kweli wakati mwingine hua nasikia wanaume wanalalamika "mi mwanamke wangu hajui kusikiliza ye ni kuongea tu". . . .jaribu kumtaja Ashura ndo utajua kama hua anasikiliza au la. Kweli kazi mnayo. . . poleni bana. Tuvumilieni hivyo hivyo.
Hahahaha. . . . hayavunji bana, siunakandwa kandwa kidogo baada ya kazi. . . !!
Sasa wakiomba msamaha si watatakiwa waeleze kwanini? Wakisema hawana sababu watatakiwa waeleze kwanini wanaomba msamaha bila sababu. Wakisema "ahhh nimeona unastahili tu" wataulizwa "kwanini uone nastahili kuombwa msamaha bila sababu"?? Mzunguko wa maswali na majibu utaendelea mpaka asubuhi.
:lol::lol::lol:
...haya sasa?! ...tena ukiuma uma majibu, ati na taa anawasha halafu anakaa kitako kitandani
akuone vizuri usoni....!
We desh desh akisema kamzimia JUMA kwakati wa maongezi utashtukia?
Na kila utakalojibu litazua swali jipya mpaka atakapoamua kujiridhisha kwa kukwambia uwe unafikiria kabla ya kuongea.
Hahahaha. . . . hayavunji bana, siunakandwa kandwa kidogo baada ya kazi. . . !!
Sasa wakiomba msamaha si watatakiwa waeleze kwanini? Wakisema hawana sababu watatakiwa waeleze kwanini wanaomba msamaha bila sababu. Wakisema "ahhh nimeona unastahili tu" wataulizwa "kwanini uone nastahili kuombwa msamaha bila sababu"?? Mzunguko wa maswali na majibu utaendelea mpaka asubuhi.