Wild man from the Hills
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,002
- 5,818
Kuna wahuni humu, mkitumia lugha nzuri tutaenda vizuri mkitumia lugha mbaya tutaenda na nyinyi mpaka akili ziwakae sawa we don't f...kn care
wewe ni mmoja kati ya hao wauni
Kuna wahuni humu, mkitumia lugha nzuri tutaenda vizuri mkitumia lugha mbaya tutaenda na nyinyi mpaka akili ziwakae sawa we don't f...kn care
I don't understand why A man of your intelligence calibre should devote his time arguing with a religiously brainwashed bafoon....it puzzles mewewe ni mmoja kati ya hao wauni
Mtume alipigwa mawe Twaif, hata dua ya laana hakuwatamkia na hakuwatakia dharra. Akisema huwezi jua pengine wanaweza wakatoka(kizazi) wenye heri kwa hao watu.Kuna watu humu wanatakiwa watumiwe majibu ya force kutokana na mabaya kutokana matamshi yao, sio wote wanastahiki majibu ya upole, nadhani sio mgeni ww humu ndani, mtu anapokuita gaidi au kumtukana Mtume siwezi kumvumilia lazima apate majibu mkabala
AminMungu wasaidie taleban