nshimiyimana
Member
- Oct 18, 2014
- 40
- 25
Habari zenu wanajamvi
Mimi nauliza nini kinasababisha unaamka asubuhi unajikuta kuna eneo la mwili limevilia damu na ilhali hujapigwa hujajigonga. Hii inatokea eneo dogo la mwili yaweza kuwa mkono, au mguu na maumivu kidogo lakini baada ya siku mbili tatu linapotea naomba mnisaidie majibu