Duduwasha
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,703
- 3,653
- Thread starter
- #21
Ndio hichi hapo Pichani?mwezini watu hawashuki!!wanatoka tu nje ya rocket wakiwa wamening'inia na kufanya uchunguzi huku pilot akiendelea kuendesha mpaka wanamaliza kazi yao ndiyo wanarudi.kinachoongelewa ni kuingia ktk anga ya mwezi(lunar surface) wala sio kwamba wanashuka wanaanza kutembea kama tunavyofanya huku duniani.
Apollo 11, foto no. AS11-40-5875. Aldrin is said to be on the moon here next to a flag which has no shadow. So, this picture is not possible.