Assumption: Tanzania tuna electoral college ya watu aina Pascal Mayalla,je itaweza kutupatia kiongozi bora?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,888
143,985
Nimewaza sana mpaka kuleta hii mada:

Wakuu,Pascal tunamsoma sana hapa JF na ninafikiri mpaka sasa imekuwa ni vigumu kwa wengi kuelewa huyu mwenzetu anasimamia upande gani ingawa mwenyewe ameshaweka wazi kuwa ni mtu neutral kwa maana ya kuwa hana chama katika siasa za nchi hii ingawa sometimes anatuchanganya sana.

Binafsi naamini mtu unapompima kiongozi inabidi uangalie mazuri yake na mapungufu yake alafu ufanye uamue katika mizani kama kiongozi husika anafaa au hafai ili umchague au uwe unamuunga mkono.

Sasa kwa jinsi tunavyomsoma Pascal alafu tuka-assume tuna electoral college yetu hapa nchini kama ile ya Marekani alafu watu hao wakatakiwa kupiga kura kuamua nani awe kiongozi wa nchi hii,unadhani watu wenye fikra na mitazamo kama ya Pascal juu ya viongozi wetu wanaweza kuchagua kiongozi bora?

Kwa maneno mengine,watu wasio na upande wowote na wanaowapima viongozi kwa kwenda na matukio,wanaweza kuwa wapiga kura wazuri kwa maana ya kufanya maamuzi sahihi kwenye sanduku la kura kuliko sisi wengine?

Karibuni kwa mjadala.
 
Huyu Jamaa hana tofauti na zitto.
Double agent balaa,si wa kumsikiliza sana ingawa anajielewa.
"Mayalla maana yake ni njaa"



Watanzania daini katiba mpya ccm itoke vinginevyo mtapata tabu sana.
Yaani hapa mkulu alitoa msg safi kwamba jamaa ana shida ya tumbo
 
Brother usihangaike na huyo anauma na kupuliza wakati huo malengo yake makubwa ni kupata chakula kutoka kwa yule Mungu mtu
 
Huyu jamaa ni mmoja ya wale wanaojipendekeza kwa big zuzu...hana tofauti na Jeri muro
 
Mbona mnamlazimisha kila mtu kuwa mwasiasa, awe anafikiria kama nyie pumbavu kabisa mnataka tyfikirie kwa chuki,ngilibha na roho mbaya, Pascal anasema when black it's black and not white,shame on you
 
Hatuwezi kumuelewa leo lkn Nina uhakika cku moja tutamuelewa.yéyé na zitto wanatumia vichwa na siyo mioyo kufikiri
.time will tell
 
Mbona mnamlazimisha kila mtu kuwa mwasiasa, awe anafikiria kama nyie pumbavu kabisa mnataka tyfikirie kwa chuki,ngilibha na roho mbaya, Pascal anasema when black it's black and not white,shame on you
Swali ni je,mtu wa aina hii anaweza kuwa mpiga kura mzuri?
 
Paschal team Lowassa alijichanganya, ndiyo maama anajitahidi kura kona kijanja!
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom