Assume ni wewe!

Hahahaaa nmekupata vlvyo "lazima ukae" 2po pa1 ingawa mmh! camn kama kwel utafurahi
 
Nitafurahi kwakuwa nitashinda na kwenda shule za kata enzizetu Mwanza ilikuwa na shule 1 mkichaguliwa sana 3 kwa shule moja
 
sitamani kurudi nyuma hata hatua moja.maana huko nilikotoka ni kugumu sana
 
Unafkr kuw maisha yatakuw maref kiac gan? kama ndoto ya ucku m1 tu ipo hiv itabd 2clale teeeena ili maisha yaanze live.
 
Mmmh! na vp kuhusu mikikimikiki ya kiprimary ulyoiotea ndoto yaan unaianza upya jaman. Binafc nngetafuna daftar zoooote.
 
Back
Top Bottom