Asprin, teamo & the finest .... Katika kuadhimisha kifo cha mwl. Nyerere

Askofu

JF-Expert Member
Feb 14, 2009
1,664
86
Ucpime.jpg
 

Attachments

  • Ucpime.jpg
    Ucpime.jpg
    57.5 KB · Views: 288
Unatuonea bure mtumishi...hatukuwa peke yetu bana,,,... Mbona Kaizer, Kimey na Roya Roy nao pia walikuwepo?

RIP baba wa taifa!
 
Duh... na hicho kichupa cha uhai kilichokatwa nusu maana yake nini??? kopo la ****** au??
 
Duh... na hicho kichupa cha uhai kilichokatwa nusu maana yake nini??? kopo la ****** au??
mkuu watu hawaamini glass za bar, unakamata uhai ya baridi, then unaomba kisu jikoni unakata nusu inakuwa glass special!

lakini hizo konyagi na valuu hapo lazima upate temporary brain damage!
 
Unatuonea bure mtumishi...hatukuwa peke yetu bana,,,... Mbona Kaizer, Kimey na Roya Roy nao pia walikuwepo?

RIP baba wa taifa!

Endelea kutaja wengine...

Duh... na hicho kichupa cha uhai kilichokatwa nusu maana yake nini??? kopo la ****** au??

Sometyms safari za kwenda huko zinaweza kuwa nyingi, so wanatafuta njia mbadala
 
Endelea kutaja wengine...



Sometyms safari za kwenda huko zinaweza kuwa nyingi, so wanatafuta njia mbadala
unataka kusema nini hapa baba askofu.............konyagi kazisababishi safari za maliwato kabisa.......tena unaweza kukaa siku tatu!
 
unataka kusema nini hapa baba askofu.............konyagi kazisababishi safari za maliwato kabisa.......tena unaweza kukaa siku tatu!

Mi nilipoona UHAI nikajua maji ya kunywa...:doh:
 
Back
Top Bottom