mkuu watu hawaamini glass za bar, unakamata uhai ya baridi, then unaomba kisu jikoni unakata nusu inakuwa glass special!Duh... na hicho kichupa cha uhai kilichokatwa nusu maana yake nini??? kopo la ****** au??
Unatuonea bure mtumishi...hatukuwa peke yetu bana,,,... Mbona Kaizer, Kimey na Roya Roy nao pia walikuwepo?
RIP baba wa taifa!
Duh... na hicho kichupa cha uhai kilichokatwa nusu maana yake nini??? kopo la ****** au??
Unatuonea bure mtumishi...hatukuwa peke yetu bana,,,... Mbona Kaizer, Kimey na Roya Roy nao pia walikuwepo?
RIP baba wa taifa!
unataka kusema nini hapa baba askofu.............konyagi kazisababishi safari za maliwato kabisa.......tena unaweza kukaa siku tatu!Endelea kutaja wengine...
Sometyms safari za kwenda huko zinaweza kuwa nyingi, so wanatafuta njia mbadala
:gossip:.... Hujaamka?
:clock:sasa hivi lazima kichwa cha Asprin kiwe kinafanya kama hii makitu hapa!Mi nilipoona UHAI nikajua maji ya kunywa...:doh: