MZEE MKUBWA
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 4,094
- 11,498
Mchungaji kajipanga vizuri au amekurupuka maana nchi yangu haipendi msema ukweli
HaiwezekaniAnajua wazi kua uzi wake utaunganishwa na ule wenye hiyo habari soon
Hatuta sahau kumpima mkojo km una viashilia syndrome ya uchocheziosisHilo kanisa litakua lipo hifadhi ya barabara au Tutamchunguza Uraia wake haiwezekani akosoe Rais wetu mpendwa au tutamtumia Nissan nyeupe
Ndiyo kilichobaki kwenu... Mtu akiwakemea muache uovu.,mnamwambia aachie madaraka kachoka, same to mbowe kawabana hanunuliki na ccm ,eti aachie uenyekiti...cheyo, Mrema wa tlp,dovutwa..kwasababu hawawapingi hamuwaambii waachie uenyeviti....pumbafu kabisa ccm.muumini wa kakobe akihama kanisa la kakobe kakobe humtangazia vita.Hakuna MTU mpinga demokrasia na dikteta kama kakobe kasahau yeye hudai kanisa hakuna cha demokrasia wala nini ni theocracy tu hakuna cha demokrasia.Halafu kaehuka toka lini Mungu anawajibika kuheshimu sheria na katiba zilizotungwa na wanadamu? Yeye yuko juu ya sheria zote za dunia hii ziwe za sayansi au chochote.ndio maana yesu alitembea juu ya maji kinyume cha sheria za sayansi na alipaa kinyume cha sheria za sayansi.Ni vizuri kakobe astaafu aachie damu changa zishike kanisa
Apishe mradi mkubwa wa umeme utapita hapoOhhhooo naona kanisa lake liko kwenye hifadhi ya barabara libomoke kabla ya mwaka mpya
BwihiHilo kanisa litakua lipo hifadhi ya barabara au Tutamchunguza Uraia wake haiwezekani akosoe Rais wetu mpendwa au tutamtumia Nissan nyeupe
Yani wee jamaa bukusaba zimekulewesha kabisa na kufunika fikra zako....kwahiyo pengo et al..walipo kuwa wanamtolea kikwete nyaraka ,kikwete alikuwa ni mkristo???Nabii eliya alionya sababu nchi ilikuwa dini moja watu wote waliwajibika kwa viongozi wa dini moja usichanganye masomo.Wewe ukiwa nabii ni kwenu na kwa wafuasi wako sio kwa kila MTU.Magufuli kiongozi wake wa kidini sio kakobe.Manabii wa Israel walikuwa na nguvu sababu walikuwa viongozi wakuu wa dini ya kiyahudi ya nchi nzima.Acha kuokoteza mistari ya Biblia
Akikujibu unitag...kama nabii Eliya aliishi sehemu yenye dini moja, ilikuwaje akashindana na mabaali? kulikuwa na watu wanaomwabudu Mungu wa kweli, na wengine walimwabudu Mungu baali (AMBAYE hadi leo kuna baadhi ya watu wanamwabudu bila kujua, amebadilishwa tu jina)....aliishi kwenye dini nyingi,acha kupotosha watu.
Kakobe hajawahi kuogopa mtawala, Mkapa na Jk wanamfahamu vilivyo2018 Upepo unaanza kubadilika.
Safari hii ni zamu ya Mchg. KAKOBE kuonesha makeke yake.
Tutegemee mengi kutoka kwa Mchg. KAKOBE 2018, kwani senema ndio kwanza Imeanza.
Lakini pia Mchg. KAKOBE alisahau kusoma kitabu cha Warumi.
sina haja ya kubishana nawe..kama hujaelewa, hutaelewa tu.kama nabii Eliya aliishi sehemu yenye dini moja, ilikuwaje akashindana na mabaali? kulikuwa na watu wanaomwabudu Mungu wa kweli, na wengine walimwabudu Mungu baali (AMBAYE hadi leo kuna baadhi ya watu wanamwabudu bila kujua, amebadilishwa tu jina)....aliishi kwenye dini nyingi,acha kupotosha watu.
Hata kama ni rubbish jibu hoja chiefRubbish