Askofu wa KKKT kanda ya kaskazini Dr Laizer amtambua Meya wa Jiji la Arusha

Ngongo

JF-Expert Member
Sep 20, 2008
18,800
30,725
Askofu wa KKKT dayosisi ya kaskazini Dr Laizer anamtambua Mheshimiwa Gaudence Lyimo kama meya halali wa jiji la Arusha.Uthibitisho nimehushuhudia mwenyewe kwenye kadi ya mwaliko toka kwa Askofu Dr Laizer kwenda kwa Mheshimiwa Gaudence Lyimo ambaye atakuwa mgeni rasmi katika sherehe za dayosisi.

Itakumbukwa sakata la maandamano Arusha Askofu Dr Laizer alitamka hadharani kutokumtambua meya wa jiji la Arusha na kwamba wasingeshirikiana naye.Kufuatia mwaliko wa Askofu Dr Laizer ni dhahiri ameuweka kando msimamo wake wa awali pengine ni baada ya kutambua walichokuwa wakielezwa na CHADEMA hakikuwa sahihi.

Naomba kuwasilisha.
 
Mmh naona Ngongo umefurahi sana! maana huipendi CDM wewe! sijui walikukosea nini.
Haya tumekusikia siye yetu macho tu....lakini upepo wa mabadiliko uko pale pale
 
Mshikachuma heshima kwako.

Mkuu Mshikachuma nimeona jambo nimeleta jamvini mambo ya mimi kutoipenda CDM yametoka wapi ?.Kwa taarifa yako mimi ni mtu huru si mwanachama wa chama chochote cha siasa.Ninachojaribu kuwaambia wanazi wa CDM waangalie sana strategics zao watu wamechoka kweli wanataka mabadiliko ya kweli si mabadiliko ya kisanii.Kama waliona meya kachaguliwa isivyo halali kwanini hawakwenda mahakamani ?.Badala yake wakachukua mkondo wa maandamano ?


Mmh naona Ngongo umefurahi sana! maana huipendi CDM wewe! sijui walikukosea nini.
Haya tumekusikia siye yetu macho tu....lakini upepo wa mabadiliko uko pale pale
 
Mshikachuma heshima kwako.

Mkuu Mshikachuma nimeona jambo nimeleta jamvini mambo ya mimi kutoipenda CDM yametoka wapi ?.Kwa taarifa yako mimi ni mtu huru si mwanachama wa chama chochote cha siasa.Ninachojaribu kuwaambia wanazi wa CDM waangalie sana strategics zao watu wamechoka kweli wanataka mabadiliko ya kweli si mabadiliko ya kisanii.Kama waliona meya kachaguliwa isivyo halali kwanini hawakwenda mahakamani ?.Badala yake wakachukua mkondo wa maandamano ?
Hakika wewe ni mtu huru na hauna chama.
 
Mshikachuma heshima kwako.

Mkuu Mshikachuma nimeona jambo nimeleta jamvini mambo ya mimi kutoipenda CDM yametoka wapi ?.Kwa taarifa yako mimi ni mtu huru si mwanachama wa chama chochote cha siasa.Ninachojaribu kuwaambia wanazi wa CDM waangalie sana strategics zao watu wamechoka kweli wanataka mabadiliko ya kweli si mabadiliko ya kisanii.Kama waliona meya kachaguliwa isivyo halali kwanini hawakwenda mahakamani ?.Badala yake wakachukua mkondo wa maandamano ?
....ni wakati gani wa kuandamana....
 
Huyu ni mnazi wa TLP na baada ya kupigwa chini tena kwa aibu akahamia CCM....
Aahaaa kumbe! ndiyo maana huyu mshikaji anapinga kila kitu kinachofanywa na CDM! anywyz kwa TLP kapotea kabisa....ni bora
ajiunge na wapambanaji wa ukweli waliodhamilia mageuzi ya kweli kwa kuwakomboa watanzania. Ngogo karibu kundini mkuu!
 
Crashwise.

Sheria zipo wazi CDM walitakiwa ndani ya siku 30 wamfungulie mashtaka mkurugenzi wa jiji/wahusika wa uchaguzi wa meya hawakufanya hivyo ?.

[1] Nachukulia kutokwenda mahakamani kupata haki iliyodhulumiwa ni dalili kwamba CDM hawakuwa na hoja za maana.

[2] CDM ni miongoni mwa vyama vyenye bahati ya kuwa na wanasheria wengi wenye ujuzi wa hali ya juu kuhusiana na mambo ya sheria je waliwahushisha wanasheria au yalikuwa ni maamuzi ya kisiasa zaidi ?.



....ni wakati gani wa kuandamana....
 
Askofu wa KKKT dayosisi ya kaskazini Dr Laizer anamtambua Mheshimiwa Gaudence Lyimo kama meya halali wa jiji la Arusha.Uthibitisho nimehushuhudia mwenyewe kwenye kadi ya mwaliko toka kwa Askofu Dr Laizer kwenda kwa Mheshimiwa Gaudence Lyimo ambaye atakuwa mgeni rasmi katika sherehe za dayosisi.

Itakumbukwa sakata la maandamano Arusha Askofu Dr Laizer alitamka hadharani kutokumtambua meya wa jiji la Arusha na kwamba wasingeshirikiana naye.Kufuatia mwaliko wa Askofu Dr Laizer ni dhahiri ameuweka kando msimamo wake wa awali pengine ni baada ya kutambua walichokuwa wakielezwa na CHADEMA hakikuwa sahihi.

Naomba kuwasilisha.

Mkuu umekuja na maneno ya upole sana
tambua kwamba dr laizer ni mtumishi wa mungu,kwa yeye kumwalika lyimo haina maana kwamba anaunga mkono,labda anatimiza neno la mungu
 
Mkuu Mshikachuma.

Crashwise hapendi mijadala hataki CDM au mtu wa CDM aguswe kwa namna yoyote.Niliwahi kumwambia asahau uchaguzi wa Meya sana sana afikirie uchaguzi wa ubunge hakutaka kunisikia.Badala ya kuzungumzia hoja iliyoko jamvini anakimbilia kumchambua Ngongo !.Hataki kuumiza kichwa imekuwaje Askofu aliyekuwa sambamba na CDM kipindi cha maandamano na wakati wa ibada ya mazishi ya waanga wa maandamano abadili msimamo ndani ya muda usiozidi mwaka mmoja.


Aahaaa kumbe! ndiyo maana huyu mshikaji anapinga kila kitu kinachofanywa na CDM! anywyz kwa TLP kapotea kabisa....ni bora
ajiunge na wapambanaji wa ukweli waliodhamilia mageuzi ya kweli kwa kuwakomboa watanzania. Ngogo karibu kundini mkuu!
 
Crashwise.

Sheria zipo wazi CDM walitakiwa ndani ya siku 30 wamfungulie mashtaka mkurugenzi wa jiji/wahusika wa uchaguzi wa meya hawakufanya hivyo ?.

[1] Nachukulia kutokwenda mahakamani kupata haki iliyodhulumiwa ni dalili kwamba CDM hawakuwa na hoja za maana.

[2] CDM ni miongoni mwa vyama vyenye bahati ya kuwa na wanasheria wengi wenye ujuzi wa hali ya juu kuhusiana na mambo ya sheria je waliwahushisha wanasheria au yalikuwa ni maamuzi ya kisiasa zaidi ?.
Huja jibu swali langu wakati gani mwafaka wa kuandamana.....au ukiwa na wanasheria hutakiwi kuandamana....
 
Mkuu Director1.

Mkuu Tanzania inahitaji mabadiliko makubwa ili wananchi wafaidi rasilimali ambazo mwenyezi mungu katujalia.Mabadiliko ya kweli lazima yaongozwe na watu sahihi.Ninachokiona CDM ni usanii wa hali ya juu na propaganda amabazo hazitusaidii.Wakikosea wanatafuta majibu mepesi na propaganda za kuwadanganya wananchi wasiopenda tafakari.Wameshindwa uchaguzi wa Igunga wakaanza ohoo CCM wametuimia bilioni 1 or 2,Ohoo chakula cha msaada CCM wameshinda viti vingi vya udiwani sijui na huko walitoa msaada wa chakula ?.

Nimeuliza swali dogo na jepesi sana ni kwanini CDM haikwenda mahakamani kupinga uchaguzi wa meya ?Crashwise badala ya kujibu kaamua kupindisha mjadala ohoo Ngongo TLP ohoo kaamia CCM.Nasema bila tafakari ya kina CDM haiendi popote itabaki hapa JF kutetea ujinga.


Mkuu umekuja na maneno ya upole sana
tambua kwamba dr laizer ni mtumishi wa mungu,kwa yeye kumwalika lyimo haina maana kwamba anaunga mkono,labda anatimiza neno la mungu
 
Kama CDM ingefungua shauri mahakamani kusingekuwa na haja ya maandamano.

Huja jibu swali langu wakati gani mwafaka wa kuandamana.....au ukiwa na wanasheria hutakiwi kuandamana....
 
Mkuu Director1.

Mkuu Tanzania inahitaji mabadiliko makubwa ili wananchi wafaidi rasilimali ambazo mwenyezi mungu katujalia.Mabadiliko ya kweli lazima yaongozwe na watu sahihi.Ninachokiona CDM ni usanii wa hali ya juu na propaganda amabazo hazitusaidii.Wakikosea wanatafuta majibu mepesi na propaganda za kuwadanganya wananchi wasiopenda tafakari.Wameshindwa uchaguzi wa Igunga wakaanza ohoo CCM wametuimia bilioni 1 or 2,Ohoo chakula cha msaada CCM wameshinda viti vingi vya udiwani sijui na huko walitoa msaada wa chakula ?.

Nimeuliza swali dogo na jepesi sana ni kwanini CDM haikwenda mahakamani kupinga uchaguzi wa meya ?Crashwise badala ya kujibu kaamua kupindisha mjadala ohoo Ngongo TLP ohoo kaamia CCM.Nasema bila tafakari ya kina CDM haiendi popote itabaki hapa JF kutetea ujinga.

Mkuu naomba nikuulize swali
chadema haikusimamisha mgombea wa ubunge igunga miaka yote ya nyuma,
huu uchaguzi ni wa kwanza kwa chadema igunga
unaonaje matokeo??je chadema wamejiweka pazuri igunga au walishindwa?
 
Mkuu umekuja na maneno ya upole sana
tambua kwamba dr laizer ni mtumishi wa mungu,kwa yeye kumwalika lyimo haina maana kwamba anaunga mkono,labda anatimiza neno la mungu

neno la mungu linatimizwa kwa mzulumishi? Na kwanini mwanzo alitoa msimamo wa kutomtambua? Au anafuata mkumbo
 
Mkuu Mshikachuma.

Crashwise hapendi mijadala hataki CDM au mtu wa CDM aguswe kwa namna yoyote.Niliwahi kumwambia asahau uchaguzi wa Meya sana sana afikirie uchaguzi wa ubunge hakutaka kunisikia.Badala ya kuzungumzia hoja iliyoko jamvini anakimbilia kumchambua Ngongo !.Hataki kuumiza kichwa imekuwaje Askofu aliyekuwa sambamba na CDM kipindi cha maandamano na wakati wa ibada ya mazishi ya waanga wa maandamano abadili msimamo ndani ya muda usiozidi mwaka mmoja.
Huwana napingana nawewe kwasababu maranyingi wewe huleta habari zilizojaana unafiki hata hii habari umeileta kishabiki lakini sina tatizo na chadema kujadiliwa.......kwenye nyekundu ni uongo,
 
Mkuu Director.

[1] Mkuu system ya uchaguzi Tanzania si kama ujerumani.Tanzania mshindi hata wa kura moja anachukua kila kitu.Uchaguzi wa Igunga CDM wameshindwa.

[2] CUF kabla ya uchaguzi wa Igunga walikuwa na mtaji wa kura 11,000 baada ya uchaguzi waliambulia kura 2,000.Naomba nikuachie urefarii mwenyewe kama CDM wamejiweka pazuri consider na gharama walizotumia kama wataweza kufanya hivyo mwaka 2015.


Mkuu naomba nikuulize swali
chadema haikusimamisha mgombea wa ubunge igunga miaka yote ya nyuma,
huu uchaguzi ni wa kwanza kwa chadema igunga
unaonaje matokeo??je chadema wamejiweka pazuri igunga au walishindwa?
 
Nimeuliza swali dogo na jepesi sana ni kwanini CDM haikwenda mahakamani kupinga uchaguzi wa meya ?Crashwise badala ya kujibu kaamua kupindisha mjadala ohoo Ngongo TLP ohoo kaamia CCM.Nasema bila tafakari ya kina CDM haiendi popote itabaki hapa JF kutetea ujinga.
Na wewe nimekuuliza swali jepesi ni wakati gani wa kwenda mahakamani.....wewe mwizi na kwapua shati lako harafu wewe unakimbilia mahakamani....
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom