Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,917
- 31,157
- Thread starter
- #21
Crashwise mratibu wa mbunge umekufanya mjinga.Onyesha unafiki au uongo.Askofu Laizer hakutamka hamtambui Meya wa Arusha uwanja wa NMC ?.
Huwana napingana nawewe kwasababu maranyingi wewe huleta habari zilizojaana unafiki hata hii habari umeileta kishabiki lakini sina tatizo na chadema kujadiliwa.......kwenye nyekundu ni uongo,