Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,898
Askofu mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Arusha, Josephat Lebulu ameng’atuka leo, Katibu mkuu wa TEC, Raymond Saba amethibitisha.
Askofu wa Jimbo Katoliki Moshi, Isaac Amani ameteuliwa kuwa askofu mkuu mpya wa Jimbo Kuu Katoliki la Arusha,Katibu mkuu wa TEC, Raymond Saba amesema
Askofu wa Jimbo Katoliki Moshi, Isaac Amani ameteuliwa kuwa askofu mkuu mpya wa Jimbo Kuu Katoliki la Arusha,Katibu mkuu wa TEC, Raymond Saba amesema