Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,122
- 39,330
Ni Askofu ila lina roho mbaya kama sura lake.
Atalishinda lile katili la CHATO?
Ni Askofu ila lina roho mbaya kama sura lake.
TEC ni ya Wakatolikihivi huyu hayupo kwenye chama kile cha TEC? Kama yupo wakipewaga mualiko wanaongeaga nini na maRais, au ndo wanaishia kuombea amani tu? Maana sielewagi mtu mwenye kum-face almost Rais atleast mara mbili kwa mwaka anakuja kutulalamikia tena sisi raia wa kawaida
Kama vitu huvijui, jifunze kukaa kimya.hivi huyu hayupo kwenye chama kile cha TEC? Kama yupo wakipewaga mualiko wanaongeaga nini na maRais, au ndo wanaishia kuombea amani tu? Maana sielewagi mtu mwenye kum-face almost Rais atleast mara mbili kwa mwaka anakuja kutulalamikia tena sisi raia wa kawaida
Hii nchi hakuna wa kuwalinganisha na nyinyi kwenye issues za ukabila.Anamshinda jiwe ukabila?
Yawezekana ana hoja lakini kwa nafasi yake katika jamii hoha hiyo asingeyatoa hapo kwani anao uwezo wa kuongea na mamlaka. Na kama alikuwa na nia angewasiliana na mamlaka ikampa Mbowe rukhsa ya kuhudhuria maziko ya mama mkwe wakeKabila lake la kazi gani? jibu alichoongea.Sura yake ya kazi gani? jibu alichoongea, kama hamna bando ya kufungua video semeni tuwachangie.
We ni mpuuzi TEC hata mara moja hawahudhurii mambo ya mialiko ya serikali.hivi huyu hayupo kwenye chama kile cha TEC? Kama yupo wakipewaga mualiko wanaongeaga nini na maRais, au ndo wanaishia kuombea amani tu? Maana sielewagi mtu mwenye kum-face almost Rais atleast mara mbili kwa mwaka anakuja kutulalamikia tena sisi raia wa kawaida
Hao ndo wanatoa sadaka kubwa kubwa, acha apambanie ugali wa watoto.Shida ya huyu askofu, wakiguswa watu wake wa karibu ndio hua anaongea
Tofauti na hapo hujifanya hajui kinachoendelea.
Fafanua hizo class za wachaga ziko ngapi? Umesema Askofu shoo Ni first class, Je mbowe, lema Ni class gani? Second, third na kuendelea Ni kina Nani?Ndio ni mchaga tena first class, kwani shida ipo wapi?
Mtukane Tena tuone utaongezewa Nini naye atapungukiwa Nini?Ni Askofu ila lina roho mbaya kama sura lake.
We ni mpuuzi TEC hata mara moja hawahudhurii mambo ya mialiko ya serikali.
Kama ipo tuletee humu
Ni masikitiko hadi leo Taifa lenye makabila over 120 kijana mwenye akili badala ya kusikiliza mhusika kaongea nini, anasema kabila lake mchanga, Non-sense.Huyu jamaa si Ni mchagga? Sioni jipya toka kwake!!!!
Bavicha Bwana sijui akili zenu huwa zinakaa wapi? Yaani mtu akiwa Upande wa CHADEMA tu tayari akili yake inakua kubwa.Ninakuhakikishia hutakaa umuelewe hata siku moja, ana akili kubwa sana well above your understanding...
Ndio lakini maskini wapo nasi siku zote. Nao kama ni waumini wanastahili huduma za kiroho kama wengine. Haifai kwa kiongozi wa dini kuwa na double standards.Umaskini ni laana na sio Jambo la kujivunia
Wengine waliokamatwa hawaongei like mashehe wa uamsho Ila ndugu yake akakamatwa anaongea. Ila mangi bana. Apewe tu Kilimanjaro iwe nchi kamili afu afukuzwe kwenye nchi yetu.Huyu jamaa si Ni mchagga? Sioni jipya toka kwake!!!!
Humjui vizuri. Namfahamu tangia alipokuwa msaidizi wa askofu wa dayosisi ya Kaskazini. Hakuna anayesisitiza mbowe ni gaidi lakini kwa kuwa kuna mashtaka mbele yake anapaswa kujitetea KWA NINI YEYE SIO GAIDI. Simple case kama anavyosema LISU.Daima huyu mtumishi hanaga unafiki wa kujipendekeza maneno yake yamenyooka kama miale ya jua hapana tafuna maneno "MBOWE SIYO GAIDI"